Non-reactive hiyo inamaanisha umetoka salama.kwahiyo ukiandikiwa non-react inamaanisha nini
Kwan wewe ulikua unataka lipi
Shenzi sana,ulitakiwa uzaliwe kule chato kwa akina Magufuli ndio hawajui kubakiza maneno,mwenzio anaitaji ushauri wewe unaharisha tu kama bata.Yawezakana wewe ndio umeshakua na Umeme tayari ndio maana umekua mchungu kama shubiri swaini.awali ni awali hakuna awali mbovu, cha kwanza i mean,tayari una umeme wa gredi ya taifa,ishi kwa matumaini
ulijuaje...Non-reactive hiyo inamaanisha umetoka salama.
siku nyingine ucheze kwa step
Naona wewe ujui unachokiandika(HIV ni aina ya virus ambavyo vipo na vyaweza leta upungufu wa kinga mwilini.na UKIMWI hapo upo sawa ni upungufu wa kinga mwilini ambao mtu anaweza kuwa nao hata akipatwa na malaria typhoid na magonjwa mengine kadhaa.HIV ni kifupisho cha maneno human immunodefiency virus sawaman mvua.TULISHAWAAMBIA HAKUNA KITU KINACHOHITWA HIV LAKINI HAMSIKII KABISA SIJUI MNA MATATIZO GANI ??? WAKISEMA UNA HIV WEWE NENDA KATAFUTE UGONJWA HALISI UNAOUMWA UJITIBU NA UKIMWI KILA MTU ANAWEZA KUWA NAO HUO SI UGONJWA.
We ulishawai kumuona huyo kirusi?Naona wewe ujui unachokiandika(HIV ni aina ya virus ambavyo vipo na vyaweza leta upungufu wa kinga mwilini.na UKIMWI hapo upo sawa ni upungufu wa kinga mwilini ambao mtu anaweza kuwa nao hata akipatwa na malaria typhoid na magonjwa mengine kadhaa.HIV ni kifupisho cha maneno human immunodefiency virus sawaman mvua.
NimewaiWe ulishawai kumuona huyo kirusi?
Weka picha yakeNimewai
Sijakuelewa mama.ulijuaje...
maana hio siku nilikua naumwa,nikapona
Don't force somebody to believe what you believe. Let him decide what to believe.TULISHAWAAMBIA HAKUNA KITU KINACHOHITWA HIV LAKINI HAMSIKII KABISA SIJUI MNA MATATIZO GANI ??? WAKISEMA UNA HIV WEWE NENDA KATAFUTE UGONJWA HALISI UNAOUMWA UJITIBU NA UKIMWI KILA MTU ANAWEZA KUWA NAO HUO SI UGONJWA.
acha wenge wewe taratibu,inaonekana unapewaga kidole cha trump au cha sugu, maana unaharisha tu manenoShenzi sana,ulitakiwa uzaliwe kule chato kwa akina Magufuli ndio hawajui kubakiza maneno,mwenzio anaitaji ushauri wewe unaharisha tu kama bata.Yawezakana wewe ndio umeshakua na Umeme tayari ndio maana umekua mchungu kama shubiri swaini.