Uwezo wa watu kufikiri uko chini sana, hawajui hata kutofautisha liability na assets
Ni kweli mkuu Tanzania watu wana ufinyu sana wa mawazo.Huu nao ni ushahidi wa jinsi elimu yetu ilivyofeli kutuondolea ujinga
Hakuna ofisi, we nenda tu pale fire nyuma kituo cha mafuta utakuta mikwaju kibao pale we vizia tu muhindi wowote mtaenda sawa
Gari itakupa heshima binafsi mjini (japokuwa inaweza kukupa umaskini pia ukijichanganya). Nyumba ni urithi wa kudumu kimaisha katika familia. Kuna namna fulani mtu anakuwa na utulivu wa ndani akiwa anaishi kwake. Na kuna namna fulani hivi ya kujisikia ufahari na kujiamini ukiwa unamiliki gari.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwahiyo nisianze kujenga mkuu nianze na gariPambana, mange kimambi na lemutuz hawana nyumba ila wana magari tu, na wanaongoza kwa kuwa na furaha nadhani kuliko hata kiumbe chochote hapa duniani.
Hao ndio WTZ wana roho mbaya sana.mkuu uko sahihi sana,nimewahi pata kibarua sehemu flani (vyama vya ushirika) nikajenga nyumba wala hakuna aliye ona kitu cha maana
siku nikachukua gari ya bro wangu (ilikuwa bado mpyaaaaa) aiseeh ilikuwa tabu tupu wakulima wanadai nimekuwa na hela nimewaibia sana nichunguzwe
yote haya kisa gari wakaona nishakuwa tajiri.
Nilinunua kwa namna zote hizo ulizotaja, hasa hasa ufahali , kuaminika, mbwembwe na manila kitu dadadeki na nikitoboa zingine huku niliko naamia rasmi kwa gari ya ndoto yangu land cruiser VXRV8 mwisho wa matatizo na lazima nitaliposti hapa hadharani ili wale wenye ufukara wao wa kudumu, waje dm au waendelee kuhesabu Tanzia.Wewe ulinunua gari kama ufahari au ulinunua kama chombo cha usafiri
Nyumba itatoka kwenye gari, mimi nilianza na ukinga kama wako wa kujenga ila cha moto nilikiona, kwanza hata mafundi kama hauna gati wanakudharau wanakuona na wewe miongoni mwa vibarua vyao, ila ukiwa na moto pale wanakuheshimu ile ile yani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwahiyo nisianze kujenga mkuu nianze na gari
Si unaona sasa walivyopata shida wakati hawana usafiri, ilq baadae wakagundua panda ona mambo yalivyowaendea poa, walikuwa wanapiga misele ya kufa mtu, rejeaNyumba, Shamba ni real estate Gari sio real.
Ulishaona nchi zinagombana Kisa Gari. Ika Ardhi ambayo Nyumba hujengwa.
Utajiri wa kupimwa na Gari ni utoto
Mungu mwenyewe alianza kumpa Adam na hawa makazi sio usafiri.
ulitaka jua wa TZ tuna roho mbaya fatilia makazini yaani mtu yuko radhi akuharibie kisa ameona unaanza ona mwanga wa maisha.Hao ndio WTZ wana roho mbaya sana.
Sawa, kwa hiyo ndo nikajenge fukayosi huko ndo nihesabu nina nyumba, we nipangishe posta nakuelewa, ila ndinga kama kawaNi kweli mkuu Tanzania watu wana ufinyu sana wa mawazo.
Mtu analazimisha kununua gari halafu amepanga kwenye kichumba kama stoo,mwenyewe anaona ufahari