King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hizo ndio akili za mafukara, subiria sasa hiko kipato kikue ufe
Kweli hakuna siku itafikia kipato kukutosha ,nadhani amesahau theory za fedha ,kwamba kadri kipato kinavyokuwa na matumizi yanaongezeka.