Eleminator
JF-Expert Member
- Sep 29, 2022
- 597
- 975
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wana JF
Maana ya kuuliza hivyo kuna siku moja nimeenda zahanati tena ya serikal nmefika pale nikamuelezea daktari hali yangu na yeye akanielekeza kwenda maabara baada ya kufika kule nikapewa chupa cha kuhifadhia mkojo
Cha ajabu
Baada ya kurudisha sampuli ya mkojo sijakaa hata dakika 2 jamaa kaniita kaniambia nirudi kwa doctor kwamba majibu tayar
swali: kwa muda huo mfupi majibu yanaweza kuwa sahihi
inshort nilibaki kwenye mawazo makubwa saana
. nambeni ufafanuzi
Maana ya kuuliza hivyo kuna siku moja nimeenda zahanati tena ya serikal nmefika pale nikamuelezea daktari hali yangu na yeye akanielekeza kwenda maabara baada ya kufika kule nikapewa chupa cha kuhifadhia mkojo
Cha ajabu
Baada ya kurudisha sampuli ya mkojo sijakaa hata dakika 2 jamaa kaniita kaniambia nirudi kwa doctor kwamba majibu tayar
swali: kwa muda huo mfupi majibu yanaweza kuwa sahihi
inshort nilibaki kwenye mawazo makubwa saana
. nambeni ufafanuzi