Eleminator
JF-Expert Member
- Sep 29, 2022
- 597
- 975
Majibu ya mkojo umepeleka kwa daktari, halafu ufafanuzi unaomba JF, jichunguze vizuri akili yako unakoelekea unadata.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wana JF
Maana ya kuuliza hivyo kuna siku moja nimeenda zahanati tena ya serikal nmefika pale nikamuelezea daktari hali yangu na yeye akanielekeza kwenda maabara baada ya kufika kule nikapewa chupa cha kuhifadhia mkojo
Cha ajabu
Baada ya kurudisha sampuli ya mkojo sijakaa hata dakika 2 jamaa kaniita kaniambia nirudi kwa doctor kwamba majibu tayar
swali: kwa muda huo mfupi majibu yanaweza kuwa sahihi
inshort nilibaki kwenye mawazo makubwa saana
. nambeni ufafanuzi
Sa nimeuliza kwa Wataalam mzeeMajibu ya mkojo umepeleka kwa daktari, halafu ufafanuzi unaomba JF, jichunguze vizuri akili yako unakoelekea unadata.
Nilipima U.T.IMkojo ulipima nini? Mimba au? Kama ni mimba ile kitu inasoma within seconds tu
Vingine sijui, labda hapakuwa na foleni..
uti ni 30 min - 45Nilipima U.T.I
Umeona sasa mkuu jamaa hakuchukua dakika 5 kanirudshia mJibu kweeeeluti ni 30 min - 45
Mkojo ulipima nini? Mimba au? Kama ni mimba ile kitu inasoma within seconds tu
Vingine sijui, labda hapakuwa na foleni..