radicals
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 4,411
- 6,473
- Thread starter
- #21
asante sana mkuu, nmekuelewa vizuri sanaVipimo vinauzwa maduka ya madawa japo ni kosa kisheria, kuviuza au kumpima mtu bila kumpa ushauri na sahaa, kupima mwenyew ni bora zaidi kuliko hosptl maana inakuwa siri yako mwenyew. Bei yake ni kati ya 3000 na elfu tano