Kipimo cha VVU cha kujipima mwenyewe

Kipimo cha VVU cha kujipima mwenyewe

Vipimo vinauzwa maduka ya madawa japo ni kosa kisheria, kuviuza au kumpima mtu bila kumpa ushauri na sahaa, kupima mwenyew ni bora zaidi kuliko hosptl maana inakuwa siri yako mwenyew. Bei yake ni kati ya 3000 na elfu tano
asante sana mkuu, nmekuelewa vizuri sana
 
Ngoja na mimi niulize swali, hivi ukimwi unaweza ujua baada ya muda gani baada ya tendo?? Bado ni miezi mitatu kama zamani au teknolojia imebadilika??
 
Unapima ili iweje kwanza? assume kitu kimesoma positive dawa unayo ya kutibu? chukua hatua utajipa bp bure tu ufe kesho wakati sasa hivi afya ipo vzr mwili nyumba
MKUU kuna faida nyingi za kupima kuliko kutopima hususan kama unais umeukwaa, ucpopima wallah mawazo yatakumaliza lakini ukipima kama unao utaanza dozi kama hauna utajilinda zaidi
 
Vipo vinauzwa juzi kuna couple ilikuja pharmacy niwasaidie Maelezo ya kukitumia baada ya kuchukua damu ya ke nkawaonyesha unasomaje basi hadi leo awajarud kunpa info imekuaje
 
sikijui,ila kuna dadangu ngoja nimuombe akutajie,Dada Sky pliz njoo kuna shida kidogo umsaidie huyu jamaa yangu ana mushkell kidogo na afya yake na naogopa kwenda hospitali,Mtajie kipimo kinaitwaje.Subiri anakuja
Bro ndiyo ninaona sasa hivi hii post. Kipimo kinaitwa BioHIV self test kunakuwa majibu ndani ya dakika 15. Kinapatikana kwenye maduka makubwa ya dawa.
 
Hatimae leo nimepima ukimwi.....feels good to be alive!!!!
 
Kitu cha kwanza ni kinyume na sheria mtu kujipima mwenyewe bila kupewa ushahuri kabla na baada yaku pima. Endapo mtu akikupa icho kipimo uka jipima mwisho wa sku ukaleta madhara yyte kesi itakuwa juu ya alie kuuzia au kukupa.

Wanao sema vina patikana pharmacy kubwa kubwa wanaweza wakawa sahihi kiasi fulani.
Nachojua mm hivi vipimo haviuzwagwi kwa mtu
1 bali vinauzwa kwa box ambapo zipo KIT 25. NaAnaye uziwa anakuwa ni mmiliki wa hosptal.

Viko vipimo vya aina 3 tz kama rapid test ambazo ni SD BIOLINE, DETERMINE& UNI GOLD .kwa saiv determine zime potea kidogo zmebaki SD Bioline na UN gold ambayo hutumika kama kipimo cha uthibitisho.
.
20171016_090848.jpg
20171016_090832.jpg
 
Habari wanajukwaa, kwa anaefahamu, eti kipimo cha VVU ambacho unaweza kujipima mwenyewe au kumpima mwenzako nyumbani kinaitwaje? halafu bei yake ipoje? naomba mnisaidie hata kama kuna picha yake muiweke hapa
Vipimo vya kupima HIV haviuzwi mkuu! Na ni marufuku kupima ukiwa mwenyewe coz kuna pre na post testing cancllng huwezi pewa na mengine mengi. Utakuta mtu anavyonyumban at anampima kila dem anyeingia kama kapata jana utajuaje?
 
Vipimo vya kupima HIV haviuzwi mkuu! Na ni marufuku kupima ukiwa mwenyewe coz kuna pre na post testing cancllng huwezi pewa na mengine mengi. Utakuta mtu anavyonyumban at anampima kila dem anyeingia kama kapata jana utajuaje?
sawa mkuu nimekuelewa,
 
acha uoga kapime hospitali bhana maana huko utapata ushauri bora usiende kupima kuliko kupima mwenyewe unaweza kufa nenda hospitali.
 
Back
Top Bottom