Kipindi Bora zaidi cha Television na Radio Tanzania...

Bolingo time na Zuberi Msabaha ndani ya RFA.
Mama na Mwana ndani ya RTD.
Mizengwe ndani ya ITV.
Nyimbo za Kale AZAM TV.
USWAZI ndani ya EATV.
Mieleka ITV.
 
Radio: Hizi nazo ya Radio One (Abdalah Mwaipaya na Zomboko)
Nikikosa hiki kipindi naumwa kabisa.
Pia Usiku wa Millennium ya Mtani Wambura Radio Free Africa
 
Radio.
1.Je Huu ni UNGWANA? RFA - Wambura Matani
2.Chombeza TIME - Radio 1 Stereo -Aboubakar Saqiq,Rose Chitala
3.Njia Panda - Dr Isaack Maro CLouds
4.Sintosahau - RFA Yusuph Magasha
5.Mambo Mseto - Radio One

TV.
1.Tuongee Asubuhi -Dotto Bulendu Star Tv
2.SuperTraxx - Stivie Kabuye - Star TV
3.Minzengwe - ITV - Kashi Kashi
4.House Hunters - Fine Living
5.Story - ATN
6.Bamba/Hidden Camera - Citizen/KTN
 
RTD ilikuwa kiboko. Hiyo ya watoto wa mfalme kwenda kutafuta wachumba inaitwa 'Binti chura'
 
Hapo kwenye chombeza time, Ongezea na kile cha jumapili usiku ilijulikana kama kipindi cha RAFIKI chini ya ROSE CHITALA kulikuwa na Love story hizoo!! ROSE CHITALA yupo wapi?
 
Kuna kipindi alichokua anaongoza abubakari sadik na abd radio one mida ya mchana..sikikumbuki jina

Planet bongo ya salama jabir
 
Sports HQ ya E fm.. Mzee wa kaliua, Kitenge Maulid , Maestro Masoud, Nk
 
1.sitasahau ya Rfa kabla ya 2010
2.kuna kipindi nimesahau jina kilikuwa kinaanza saa 2-3 asubuhi kabla ya sitasahau pale Rfa mtangazaji akiwa rebecca mresi au Roy maganga
Daaah Rebecca mresi noma Sana angekua mdg ningekwenda kujieleza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…