Asante ndugu ila bado sijapoaPole sana mkuu
Hapo kwenye chombeza time, Ongezea na kile cha jumapili usiku ilijulikana kama kipindi cha RAFIKI chini ya ROSE CHITALA kulikuwa na Love story hizoo!! ROSE CHITALA yupo wapi?
° Saa 2 hadi 3 Ushauri wako1.sitasahau ya Rfa kabla ya 2010
2.kuna kipindi nimesahau jina kilikuwa kinaanza saa 2-3 asubuhi kabla ya sitasahau pale Rfa mtangazaji akiwa rebecca mresi au Roy maganga
Kuna jamaa aliwahi kunishangaa kukuta nafatilia isidingo hakujua naielewa vipi!?Isidingo ya ITV nilijiwekea nadhiri sitaacha kuangalia nimeambukiza na familia yangu wanaipenda sana