Kipindi cha balehe yako kituko kipi ukikumbuka huwa unacheka?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan unajichagulia kuku anayekufaa unaweka tu[emoji23][emoji23][emoji23]

Na pengine unakaa unawaza kuku flan utampata lini
Kuku flan anakunyima kabisa usingizi hulali unamuwaza yeye
[emoji23] [emoji23] [emoji53] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kaka duuh hatar kama ferooz angalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…