Mungu anisamehe labda ni akili yangu tuNimekutana na kipindi kinarushwa kwenye tv,mtangazaji Ni Mc garab ,lulu diva na wengine.
Wale washiriki wanapatikanaaje?..je Ni bure mrembo unajitokeza tu...na inakuaje mpaka wadada wazuri vile wanafikia hatua ile?
Inaleta picha gani wadada wanamlilia mwanaume Fulani anaejitokeza,na bado wanatafuta mwingine analiona hilo?
Na kuhusu wanaume wanaojiopolea vimwana[emoji16] huwa wanafanyiwa kitu wafike stage nyingine ama ukiopoa ushaopoa mtaelewana mbele?
Mi sijui jamani wanaojua wanijuze.
View attachment 2372730View attachment 2372731
Mh inakuwaje kweli?Yale ni Maigizo na kuna Script kabisa imeandikwa na kila kinachofanyika pale kimeshakuwa Planned Msidanganyike Watanzania wenzangu ule ni Utopolo mtupu kama Mieleka (WWE)
Usijaze akili yako mawazo hasi pekeeYale ni Maigizo na kuna Script kabisa imeandikwa na kila kinachofanyika pale kimeshakuwa Planned Msidanganyike Watanzania wenzangu ule ni Utopolo mtupu kama Mieleka (WWE)
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mungu anisamehe labda ni akili yangu tu
Lkn me naona huo ni umalayer
Vijana was kitz tumefikia hukuNi kujichoresha sana.
Hapana sio uzungu huo no umalayer.......[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mambo ya wazungu bana..we huyajui unatafsiri vingine
AiseeHapana sio uzungu huo no umalayer.......
Hao wadada wako hapo kimchongo
No ni tamaa za kimwili tu na wewe ukihitaji na hamu zako za kumwaga nenda ukajichukulie wako ujitosheleze ila ni mapenzi ya kifurushi kikisha expire kila mmoja wenu anajitafutia mwingine tena kwa hio ndio unakua mzunguko huo, ukishamchoka unaenda kumchagua mwingine anaekuvutia ukiulizwa sababu unasema yule hakua na quality zangu nilizohitaji that's how it'sInawezekana ni biashara inafanyika pale...tupate shuhuda za ndoa
Wana ujinga mwingi sanaUnapewa kapu tupu bila kujua background yake in short ni mapenzi ya tamaa za kingono sio mapenzi halisi...
Fuatilia waliotangulia kabla basya hao watakupa picha
Hakuna mapenzi hapo ni ngono ngono ngono na tamaa za kimwili wakishagongana kila mtu akaonja radha ya mwenzake anapita njia yake
Cc: bongo nyoso inamankusweke
Yale ni Maigizo na kuna Script kabisa imeandikwa na kila kinachofanyika pale kimeshakuwa Planned Msidanganyike Watanzania wenzangu ule ni Utopolo mtupu kama Mieleka (WWE)
Kweli kivipi? Fafanua hio kweli ilipo...Mkuu ile issue ni kweli mimi nafanya kazi katika hiyo chanel inayorusha hicho kipindi cha Mr Right
Taratibu kaka....hao wadada wote wadangaji waliokubuhu
Utaratibu ukoje kwa wadadà ili washiriki?Mkuu ile issue ni kweli mimi nafanya kazi katika hiyo chanel inayorusha hicho kipindi cha Mr Right
Watu wawili wakitoka pale wanaweza jenga future...tutajuajeMambo ya Mjini.
Sanaa, burudani na mind games, then biashara.
Hakuna zaidi ya hilo
Watu wawili wakitoka pale wanaweza jenga future...tutajuaje
Hawana tofauti na makahaba wa barabarani.Nimekutana na kipindi kinarushwa kwenye tv,mtangazaji Ni Mc garab ,lulu diva na wengine.
Wale washiriki wanapatikanaaje?..je Ni bure mrembo unajitokeza tu...na inakuaje mpaka wadada wazuri vile wanafikia hatua ile?
Inaleta picha gani wadada wanamlilia mwanaume Fulani anaejitokeza,na bado wanatafuta mwingine analiona hilo?
Na kuhusu wanaume wanaojiopolea vimwana[emoji16] huwa wanafanyiwa kitu wafike stage nyingine ama ukiopoa ushaopoa mtaelewana mbele?
Mi sijui jamani wanaojua wanijuze.
View attachment 2372730View attachment 2372731