Kipindi cha Industrialisation Uingereza. Butcher man alipita na mkokoteni nje ya nyumba

Kipindi cha Industrialisation Uingereza. Butcher man alipita na mkokoteni nje ya nyumba

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Kipindi hiki watu walihama kufuata kazi, miji ilifanyika na biashara zilishamiri. Ni katika kipinndi hiki walianza ustaarabu wa kusukuma maji na yalifika majumbani.

Maji tiririka yalipunguza magonjwa kama cholera kwani yalikuwa treated kabla hayajafika kwa mtumiaji.

1657021678592.png
 
Napenda sana mimi kujua historia za zamani, shukrani mwandishi?
 
Back
Top Bottom