Kipindi cha Jambo Tanzania cha TBC kimepoteza mvuto

Kipindi cha Jambo Tanzania cha TBC kimepoteza mvuto

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Wadau habari za usiku !!

Mbali na mabadiliko waliyo fanya TBC bado kituo hicho kinakosa vipindi vyenye mvuto kabisaa pamoja na watangazaji pia hawana bashasha na haiba.

TBC wana kipindi kinaitwa Jambo Tanzania (Good morning Tanzania) hiki kipindi hivi karibun kimekuwa kina endeshwa kiajabu ajabu ,

Ndani ya studio humo kumewekwa Jiko la kisasa la kupikia sasa kumeibuka mtindo kila mtangazaji akifika kutangaza segment yake basi anatangaza akisha maliza tu anasogea pale jikoni anajihudumia ka chai na maandazi , mara mihogo, kiukweli kina poteza umakinifu. Juzi kuna mtangazaji katikati ya matangazo akaenda jikoni kubeba andazi.

Jaman TBC toeni iyo tabia, vipindi vya asubuh vinatakiwa viwe sensitive sana, viwe na hoja nzito

Sasa mfano leo eti walikiwa wana ulizana kuhusu salamu, eti ukienda pahala ukamkuta watu / mtu nani anapaswa kutoa salamu ...

Jaman TBC badilikeni embu tazameni wenzenu wa Kenya hapo e.g Citizen tv, kipindi chao cha Day break asubuhi mpaka saa 3 ni issues tu kuanzia saa 3 mpaka saa 4 ndio mijadala ya mizaha na pia sports
 
Ila mi napenda wanajadili mambo magumu kwa undani ila wanaweka na ucheshi ile idea ya jiko iko vema sana nadhani wanachopaswa kuongeza ni namna ya kuengage hadhira yao ila ni Super
 
"Embu" ndo nini ,,,nianzie hapo Kwanza kabla sijatoa maoni yangu.
 
Hivi zile scripts za kishindo cha awamu ya tano ziliishia wapi?
 
Wadau habari za usiku !!

Mbali na mabadiliko waliyo fanya TBC bado kituo hicho kinakosa vipindi vyenye mvuto kabisaa pamoja na watangazaji pia hawana bashasha na haiba.

TBC wana kipindi kinaitwa Jambo Tanzania (Good morning Tanzania) hiki kipindi hivi karibun kimekuwa kina endeshwa kiajabu ajabu ,

Ndani ya studio humo kumewekwa Jiko la kisasa la kupikia sasa kumeibuka mtindo kila mtangazaji akifika kutangaza segment yake basi anatangaza akisha maliza tu anasogea pale jikoni anajihudumia ka chai na maandazi , mara mihogo, kiukweli kina poteza umakinifu. Juzi kuna mtangazaji katikati ya matangazo akaenda jikoni kubeba andazi.

Jaman TBC toeni iyo tabia, vipindi vya asubuh vinatakiwa viwe sensitive sana, viwe na hoja nzito

Sasa mfano leo eti walikiwa wana ulizana kuhusu salamu, eti ukienda pahala ukamkuta watu / mtu nani anapaswa kutoa salamu ...

Jaman TBC badilikeni embu tazameni wenzenu wa Kenya hapo e.g Citizen tv, kipindi chao cha Day break asubuhi mpaka saa 3 ni issues tu kuanzia saa 3 mpaka saa 4 ndio mijadala ya mizaha na pia sports
Wahenga walisema:
'Samaki huoza kuanzia kichwani'
Mkurugenzi wao, ayoub ryoba hana jipya, ni propaganda na uongo tuu !
 
Wadau habari za usiku !!

Mbali na mabadiliko waliyo fanya TBC bado kituo hicho kinakosa vipindi vyenye mvuto kabisaa pamoja na watangazaji pia hawana bashasha na haiba.

TBC wana kipindi kinaitwa Jambo Tanzania (Good morning Tanzania) hiki kipindi hivi karibun kimekuwa kina endeshwa kiajabu ajabu ,

Ndani ya studio humo kumewekwa Jiko la kisasa la kupikia sasa kumeibuka mtindo kila mtangazaji akifika kutangaza segment yake basi anatangaza akisha maliza tu anasogea pale jikoni anajihudumia ka chai na maandazi , mara mihogo, kiukweli kina poteza umakinifu. Juzi kuna mtangazaji katikati ya matangazo akaenda jikoni kubeba andazi.

Jaman TBC toeni iyo tabia, vipindi vya asubuh vinatakiwa viwe sensitive sana, viwe na hoja nzito

Sasa mfano leo eti walikiwa wana ulizana kuhusu salamu, eti ukienda pahala ukamkuta watu / mtu nani anapaswa kutoa salamu ...

Jaman TBC badilikeni embu tazameni wenzenu wa Kenya hapo e.g Citizen tv, kipindi chao cha Day break asubuhi mpaka saa 3 ni issues tu kuanzia saa 3 mpaka saa 4 ndio mijadala ya mizaha na pia sports
Huwezi kupoteza kitu ambacho hujawahi kuwa nacho.
 
Wadau habari za usiku !!

Mbali na mabadiliko waliyo fanya TBC bado kituo hicho kinakosa vipindi vyenye mvuto kabisaa pamoja na watangazaji pia hawana bashasha na haiba.

TBC wana kipindi kinaitwa Jambo Tanzania (Good morning Tanzania) hiki kipindi hivi karibun kimekuwa kina endeshwa kiajabu ajabu ,

Ndani ya studio humo kumewekwa Jiko la kisasa la kupikia sasa kumeibuka mtindo kila mtangazaji akifika kutangaza segment yake basi anatangaza akisha maliza tu anasogea pale jikoni anajihudumia ka chai na maandazi , mara mihogo, kiukweli kina poteza umakinifu. Juzi kuna mtangazaji katikati ya matangazo akaenda jikoni kubeba andazi.

Jaman TBC toeni iyo tabia, vipindi vya asubuh vinatakiwa viwe sensitive sana, viwe na hoja nzito

Sasa mfano leo eti walikiwa wana ulizana kuhusu salamu, eti ukienda pahala ukamkuta watu / mtu nani anapaswa kutoa salamu ...

Jaman TBC badilikeni embu tazameni wenzenu wa Kenya hapo e.g Citizen tv, kipindi chao cha Day break asubuhi mpaka saa 3 ni issues tu kuanzia saa 3 mpaka saa 4 ndio mijadala ya mizaha na pia sports
Jaman TBC badilikeni embu tazameni wenzenu wa Kenya hapo e.g Citizen tv, kipindi chao cha Day break asubuhi mpaka saa 3 ni issues tu kuanzia saa 3 mpaka saa 4 ndio mijadala ya mizaha na pia sports[emoji1534]
 
Zile tetesi za Boss zilikuwa za kweli?
===
TBC ni wabunifu. Hivi unadhani wanawake kuanza kuvaa suruali kama wanaume likikuwa jambo rahisi?
 
Back
Top Bottom