Kipindi cha kuokota vipisi vya sigara ndio hiki

Kipindi cha kuokota vipisi vya sigara ndio hiki

Mi mzee wangu alikuwa anavuta sigara na akikosa sigara alikuwa akionekana kutaabika mno kiasi kwamba anatupa jukumu la kutafuta vipisi vya sigara alizovuta hata jalalani tulifika, baada ya hapo anaviminya hivyo vipisi na kuweka kwenye karatasi na kutengeneza sigara moja[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] akivuta anafurahi na kusema akili ya kutafuta pesa ndo imerudi sasa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Duuh! Alifika sehemu mbaya sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ni kaugonjwa ka kujiendekeza asipopata sigara siku moja roho inatapatapa[emoji23]
Niliwahi kuwa na kaugonjwa ka kujiendekeza kula udongo(huku tunauita pemba),nilikua nakula udongo wa 500 na soda kila siku mpaka ikafika chakula nikawa sili ni udongo tu,nilikonda vibaya sana sambamba na kukosa choo.Kuna siku nikakaa tu nikawaza weee hivi kwanini nafanya hivyo,nikaamua kuanza kujifunza kuucha taratibu mpaka nikafanikiwa,japo haikuwa kazi rahisi
Mmmh! Pole mno wangu
 
wavuta sigara wana tabu sana nakumbukaga siku moja tupo shamba sasa gari iliaribika ya kuja tuchukuwa kwahio ikabidi tulale shamba mpk kesho yake, mfukoni nilikuwa na buku tu kwa vile tulibaki wawili shamba nikaona tugawane jero jero, tukaanza safari ya kutafuta duka ile tumefika dukani mm nikanunua maziwa ya 250 na maandazi ya 250 wakati nakula kuja taamaki mwenzangu kanunua sigara eti anasema bora alale njaa kuliko kukosa sigara
 
wavuta sigara wana tabu sana nakumbukaga siku moja tupo shamba sasa gari iliaribika ya kuja tuchukuwa kwahio ikabidi tulale shamba mpk kesho yake, mfukoni nilikuwa na buku tu kwa vile tulibaki wawili shamba nikaona tugawane jero jero, tukaanza safari ya kutafuta duka ile tumefika dukani mm nikanunua maziwa ya 250 na maandazi ya 250 wakati nakula kuja taamaki mwenzangu kanunua sigara eti anasema bora alale njaa kuliko kukosa sigara
Duuh! Kilema kweli iko
 
Jela watu wanakwanguliwa tigo kwa cigarette
 
Hatuokoti vipisi sisi
IMG_20180504_114406.JPG
 
Aiseee baadhi ya wanaume hamna vinyaa si kama mnakula denda tu hapo kwenye kugongea vipisi
 
Back
Top Bottom