Kipindi cha Logaloga CItizen TV Kenya, hongereni sana

Kipindi cha Logaloga CItizen TV Kenya, hongereni sana

kiukweli jaman ktk sekta ya media majirani zetu luninga zao ziko poa sanaaa isipokuwa wale KBC nao wanatembelea uu ya torori ila tv kama CITIZEN, KTN hasa citizen jamaa ni fire kabisaaa binafsi navutiwa sanaa na baadhi ya vipindi vyao hasa kile cha asubuhi #day break hususani cha alhamisi unakutana na mpishi chef Al mandry ...then jamaa wanakuwaga na documentary zao nzuri za matukio ....then mfano mwingine mdogo ni wa yule jamaa steve aliyelia siku ile Simba tulipo mpiga Yanga goli 5 . kuna mwanahabari alisafiri toka kenya mpaka dsm kua kumuhoji steve ..yaan waandishi wa habari wa kenya ni wanafuatilia mambo.. isitoshe hata last week citizen walikwenda semunge kwa babu waliandaa taarifa fulan ambayo kiukweli wana fanya POA I give the big 5
NTV kama mnaipata Tanzania basi hiyo ndio station ya maana. Citizen iko sawa lakini ina advertisement nyingi hadi inakera. Lakini najua mnaipenda kwa sababu ina kiswahili kingi
 
NTV kama mnaipata Tanzania basi hiyo ndio station ya maana. Citizen iko sawa lakini ina advertisement nyingi hadi inakera. Lakini najua mnaipenda kwa sababu ina kiswahili kingi
ila we jamaa yaan kwa akili yako yotee uliyo nayo unafikiri ya kuwa watz hawaui lugha zingine hususani kimombo..sikiliza kk huku tunaangalia cnn, al jazeera, bbc , sabc, cgtn zote hizi zinatangaza matangazo ya kimombo ....ukubali au ukatae citizen wanakuwa na vipindi poa
 
Back
Top Bottom