Kipindi cha michezo chenye watangazaji (wachambuzi/watoa maoni) wengi zaidi

Wakikimbia wewe utafaidika na nini mzee? serikali yenyewe haitoi ajira, mkitumiwa sms ya "ile hela tuma kwenye namba hii" mnalalamika,achani watu wapambanie mkate bhana,kwani wivu hauna maana.
Shabaaash yaan tena una justify haramu iwe haki..yaannunatapeliwa pesa ww unasema eti tukitumiwa ujumbe tuna lalama hovyo sanaaa ww

Mawazo yangu kwa wao kulipa kodi ni sehemu ya kuwapa tabasamu wadaawa
 
Shabaaash yaan tena una justify haramu iwe haki..yaannunatapeliwa pesa ww unasema eti tukitumiwa ujumbe tuna lalama hovyo sanaaa ww

Mawazo yangu kwa wao kulipa kodi ni sehemu ya kuwapa tabasamu wadaawa
Tatizo siyo kulipa kodi ndugu....tatizo umesema watozwe kodi ili wakimbie...which means unataka kodi ya kuwa discourage,kama iwekwayo kwenye Sigara na Pombe...labda ufute kauli yako ya kuambatanisha kodi na wao kukimbia.
 
Tatizo siyo kulipa kodi ndugu....tatizo umesema watozwe kodi ili wakimbie...which means unataka kodi ya kuwa discourage,kama iwekwayo kwenye Sigara na Pombe...labda ufute kauli yako ya kuambatanisha kodi na wao kukimbia.
Ndio ikiwekwa kodi wengine wata kimbia, kwan uongo
 
Wakilipwa mishahara yao hua inakatwa kodi mkuu,
Iyo ni PAE, ss mm napendekeza kodi ya uchambuzi wa soka πŸ˜‚πŸ˜‚ maana una kuta wengine wana kqndia maendeleo ya vilabu kwa kuzua chokochoko ..mfano yule tenge akiqnza kushupalia issue ya FCC ma lion yaan mpaka matee yana mkauka ...ila lengo lake yy ni kuona mambo hayaendi mswano
 
Wewe umejuaje anataka mambo yasiende?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…