Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Leo kipindi kinaongozwa na mwanamama. Jina lake sijalinasa. Yupo katibu wa tamisemi ndugu Ndunguru, yupo mtu wa TAKUKURU na naibu msajili
Mada inahusiana na uchaguzi ujao wa serikali za mitaa. Naamini kabisa kuwa aidha Dr Ryoba kakimbia kipindi kuepuka lawama au kaambiwa asiendeshe kipindi leo. Hawa wageni kiukweli ukiwasikiloza tu unaona kabisa hawakwepi lawama zinazohusika na kuenguliwa kwa upinzani. Sasa najua Dr. anvewabana sana na mwisho serikali ingeaibika.
Nampa changamoto Dr aje kukanusha hili. Hawa wageni ndio kiini cha yote haya tuliyosikia. Naamini kwa Dr kukosekana kwenye kipindi.hatuwezi kupata kile kilichotarajiwa
Mada inahusiana na uchaguzi ujao wa serikali za mitaa. Naamini kabisa kuwa aidha Dr Ryoba kakimbia kipindi kuepuka lawama au kaambiwa asiendeshe kipindi leo. Hawa wageni kiukweli ukiwasikiloza tu unaona kabisa hawakwepi lawama zinazohusika na kuenguliwa kwa upinzani. Sasa najua Dr. anvewabana sana na mwisho serikali ingeaibika.
Nampa changamoto Dr aje kukanusha hili. Hawa wageni ndio kiini cha yote haya tuliyosikia. Naamini kwa Dr kukosekana kwenye kipindi.hatuwezi kupata kile kilichotarajiwa