screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Hivi Salama ni mwanadada?salama yupo juu sana kusema ukweli watangazaji wabongo wanaopenda kufanya interview waige kwa huyu mwana dada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Salama ni mwanadada?salama yupo juu sana kusema ukweli watangazaji wabongo wanaopenda kufanya interview waige kwa huyu mwana dada.
sina uhakika...Hivi Salama ni mwanadada?
sina uhakika...![]()
ila nimuonavyo mimi ni mwanamke sijui wewe mwenzangu macho yako yatamuonaje.
naye ameshakuwa mwanamke wa dar....ndio maana wanaume wa dar wanamuogopa.Angekua bara siku nyingi angeshaolewa, wanaume wa Dar wanaogopa hata kumsalimia.
ivi kumbe kunatofauti kati ya s.star na maarufu.??Bongo kuna star gani? Hebu watajeni. Sema kuna watu maarufu kina kingwendu, wemasepenga, wolper nk
Nilikuwa nauliza tusina uhakika...![]()
ila nimuonavyo mimi ni mwanamke sijui wewe mwenzangu macho yako yatamuonaje.
Kuna matajiri na ambao si mastar! Mfano Drug dealers!!Ndio sifa za star!!! Ngonepi
Teh Teh alihojiwa akavunja kiti.Star Le Mutuz alishahojiwa kwenye Mkasi? Labda ilinipita hiyo.
Niliimisi hiyo mkuu.Teh Teh alihojiwa akavunja kiti.
Mbona mi bado?[emoji23] [emoji23]Ameshawahoji macelebrity wote wa bongo so kipindi kimeisha
Yeah tofauti ipo mkuu, SUPERSTAR NA CELEBRITY.ivi kumbe kunatofauti kati ya s.star na maarufu.??
challenge na changamoto, nadhan nazo zinatofauti asee[emoji15] [emoji15]