Kipindi cha mvua uzalishaji wa dhahabu hupungua ,je wajua na nini suluhisho.
Uzalishaji wa dhahabu au jina jingine huitwa kuchenjua dhahabu,hutumia njia za kikemikali ambazo hutegemea pia hali ya hewa ya asili ya sehemu husika.
Katika kipindi cha mvua ,hali ya hewa ya mawingi huchangia kufanya zoezi la kuozesha udongo wako kwaajili ya kuchenjua dhahabu kiwa wataratibu kwani nguvu ya jua na hewa ya oksije i kuwa kidogo,hii hasa hutokea kwa wale wanaotumia kemikali ya Sodium Cynide.
Je,NINI KIFANYIKE ILINKUONGEZA UZALISHAJI WA DHAHABU KIPINDI CHA MVUA.
Nashauri matumizi ya kemikali ya CNLITE
Kemikali hii haihiitaji kuongeza ph , hydrogen peroxide ili kuboost uchenjuaji ,bali ipo kikamilifu na ,huchenjua dhahabu kwa haraka sana.
Pia, CNLITE ,kemikali hii sio sumu hatari kama ilivyo kwa sainaid( cynide)
Karibu tukuhudumie.
CNLITE- TANZANIA
Makumbusho-Dar es salaam
Contact: 0754763364
Uzalishaji wa dhahabu au jina jingine huitwa kuchenjua dhahabu,hutumia njia za kikemikali ambazo hutegemea pia hali ya hewa ya asili ya sehemu husika.
Katika kipindi cha mvua ,hali ya hewa ya mawingi huchangia kufanya zoezi la kuozesha udongo wako kwaajili ya kuchenjua dhahabu kiwa wataratibu kwani nguvu ya jua na hewa ya oksije i kuwa kidogo,hii hasa hutokea kwa wale wanaotumia kemikali ya Sodium Cynide.
Je,NINI KIFANYIKE ILINKUONGEZA UZALISHAJI WA DHAHABU KIPINDI CHA MVUA.
Nashauri matumizi ya kemikali ya CNLITE
Kemikali hii haihiitaji kuongeza ph , hydrogen peroxide ili kuboost uchenjuaji ,bali ipo kikamilifu na ,huchenjua dhahabu kwa haraka sana.
Pia, CNLITE ,kemikali hii sio sumu hatari kama ilivyo kwa sainaid( cynide)
Karibu tukuhudumie.
CNLITE- TANZANIA
Makumbusho-Dar es salaam
Contact: 0754763364