Kipindi cha mwezi mmoja ni siku ngapi?

Siku 28 tu
Wanasema cycle ya mwanamke ni siku 28 ,then kiurahisi tu wiki ina siku 7,kwakuwa miezi yote ina wiki nne itakuwa na siku 7×4 =28 days.
 
Nadhani hapa swali ni kwanini miezi inatofautiana idadi ya siku.

Anyway mimi najua kwanini February nyingine zina siku 28 ilhali nyingine zina siku 29.

Jambo hili limefanyika makusudi kwenye design ya Gregorian calendar kwasababu dunia inatumia siku 365¼ kulizunguka jua. Lakini wasingeweza wakaweka robo siku kwenye design ya calendar lakini pia wange round-off iwe siku 365 au 366 kamili kila mwaka basi hiyo tofauti ya robo siku ingekuja kusababisha misimu (kiangazi, masika, autumn na spring) ipishane miezi. Yani, lets say mwaka huu masika inaanza December, ila baada ya miaka 200 ile tofauti ya robo siku inakua imeusogeza mbele/nyuma msimu huo kwa siku 50 kwahiyo 200 years later masika inakuwa inaanza say March au September (misimu haitegemi tarehe, binadamu ndio tume engineer tarehe ziendane na misimu) Hii inconsistency ingeleta shida sana kwa civilization ndio maana kila baada ya miaka minne wakaongeza siku moja nzima kwenye calendar (February 29) ili kunyoosha mambo.
 
Naona umejitahidi asante kwa uchambuzi,swali ni kwamba imeshindikana kuwepo uniform length ya mwezi kama ilivyo kwa siku,saa ,miaka,na wiki ambazo zote zina urefu sawa......hilo ndio linalonitatiza
 
Hapa mie sioni ugumu wa hili swali. Tunafuata kile tulichoambiwa na watengeneza kalenda.

Naomba kwanza wajuvi wanisaidie kuelewabhii kitu. Waswahili tunatumia mwezi kwa maana ya ule unaotoa mwanga wakati wa usiku pia idadi ya siku zinazokamilisha mwezi.

Wenzetu wana month na moon. Sie tunaposema mwezi una siku kadhaa, nafikiri tunamaanisha month. Kuna mahusiano kati ya moon na month?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…