herzygovina mwangosi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 900
- 431
alinisikitisha aliposema tusimpe idea,sasa sijui alikuwa anataka ushuri wa aina gani?...frankly speaking,kile kipind zaidi ya nguvu kubwa ya josh ya ghraphics na idea ya upangaji wa eneo la nyumba...content za kipindi sio level ya kufanywa na wao...its a teen program!
umewapa wazo zuri kunasehemu niliwapa wazo kama hili kwa barua pepe,naona walihisi na wapinga...lakin Mkasi Tv show was the best ilikuwa kuiboresha na kuhoji watu wengine ata wamataifa ya east africa wanaonge kiswahili.. anyway naona huyu mpemba/munguja mbishi kweli
umewapa wazo zuri kunasehemu niliwapa wazo kama hili kwa barua pepe,naona walihisi na wapinga...lakin Mkasi Tv show was the best ilikuwa kuiboresha na kuhoji watu wengine ata wamataifa ya east africa wanaonge kiswahili.. anyway naona huyu mpemba/munguja mbishi kweli