Kipindi cha shilawadu kimepata umaarufu kwa kucover story za WCB

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,023
Kubali ukatae habari za kimbeya nyingi zinatoka WCB so msifikirie anguko la WCB kumbuka hata wao clouds watasheki.
Ngoja tuone mwisho wake.
 
hukutakiwa hata umjibu kiongozi....
Haaaaa kiongozi team madale wasije wakajiua si unajua washachanganyikiwa media zote zimewasusa na sie hapa tukiwasusa tutawapa wakati mgumu,ngoja tuwape moyo na kuwapa makavu wazinduke kwenye usingizi.
 
Mimi sina upande hapa, ni mwendo wa popcorn tu
 
Diamond afanye maamuzi ya busara kwa pale alipofika ni aibu yeye kuendelea kuongozwa na kina Tale na Fella.

Fella wanaume ilimshinda kwa unyonyaji wake....Yule Tale Tip Top kaitia motoni ili akajibanze kwa Dimond.

Yule Sallam kimbelembele na ujuaji wale ndio wanaharibu image ya Dimond kwa kujibizana kwenye mitandao....Ruge na Shigongo ndio waliomfikisha Dimond halipo hao wakina Fella wamedandia mafanikio tu
 
WCB hata wa anzishe Redio na Tv yao haiwezi kupima uwezo wao.. utapimaje ubora wako kwa kisikiliza nyimbo zako mwenyewe....!

Tukimzungumzia RUGE kuwa anashusha soko la Muziki pia hawa Wcb nao ni jipu kwa soko la Muziki hawataki mtu au msanii mwingine afanye vizuri zaidi yao...na ndomana leo hii soko la muziki tanzania linaonekana nila watu wachache...

WCB wabaki kwenye misingi yao kama taasisi na media nazo zibaki kwenye misingi yao..kila media ina misingi iliyo jiwekea yenyewe
 
Kweli mkuu kwa nini Sallam tu ndo anakuwa na mambo ya ajabu...anashindwa kujua kuwa ana haribu jina la Diamond sallam huyu huyu Amemtupa AY yupo kwa die..hakukuwa na haja ya WCB kuzozana na Media hizi media zitaendelea kuwepo na muziki utaendelea kuwepo ila mziki kwa msanii huwa unakuwa na kikomo
 
Kwani Diamond kashuka au kapanda kimuziki chini ya hao uliowataja?
 
Shilawadu ndo wanawapa kiki WCB nionavyo meme
 
Niko nyuma kama koti la babu yaani hata sijui ni nini kinaendelea hapa Naombeni ubuyu basi waungwana
 
Kwa hiyo hii inawapa nguvu wcb kuwadunda shilawadu kwa kuwa shilawadu inawategemea!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…