Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Ye atabadirisha ,watt je?Ninamaanisha badili chanel, au kuna mtu kakushikia bakora kuangalia?
Akiwa hayupo watabadirisha?
Mkuu Kuna watt wanakua Bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ye atabadirisha ,watt je?Ninamaanisha badili chanel, au kuna mtu kakushikia bakora kuangalia?
Kwenye chanel zingine huwa mnawazuiaje, pale unapoona umri ulioainishwa ni 16+ na movie ipo saa nne asubuhi?Ye atabadirisha ,watt je?
Akiwa hayupo watabadirisha?
Mkuu Kuna watt wanakua Bado
Mkuu watt km unao nadhani unajua wakiwa wenyewe sio rahisi kuacha kuangalia walivyozuiliwa!Kwenye chanel zingine huwa mnawazuiaje, pale unapoona umri ulioainishwa ni 16+ na movie ipo saa nne asubuhi?
Kwa upande wangu huwa nawahimiza waangalie za wanyama, na vipindi vya watoto tu; mambo ya kuangalia mambo ya wasanii na chanel zingine zilizoruhusiwa na dunia ni mwiko.Mkuu watt km unao nadhani unajua wakiwa wenyewe sio rahisi kuacha kuangalia walivyozuiliwa!
Mashoga lazima mtete wenzenuKwani nani kakulazimisha kuangalia? Kwanini mnapenda kujiudhi wenyewe?
Ni washirika wa mzee Yusuph kwenye biashara ya kuuza matofali hapo daslamu.Kwani ndio kina nani hao huko Daslamu?
Mambo mengine mbaki nayo hukohuko tu...Kazi ya sanaa ni kufikisha ujumbe, kuburudisha, kuonya na kadhalika, lakini mi sielewi kuhusu hiki kipindi kipya kilichoanza juzi kuonyeshwa kwenye channel pendwa ya Maisha Magic Bongo DStv.
Kilipigiwa promo ya kutosha hatimaye siku ikafika. Nliyoyaona na niliokua nimekaa nao wakabaki wanauliza, "Nini hiki?"
County Wizzy, Calisah na Whozu. Kuna ulazima wa kuonyesha mkiwa uchi wa mnyama bafuni naoga?
Kwanini msifanye cameraman anaishia kuonyesha unaingia bafuni kisha anaonyesha unatoka umevaa taulo, kitapungua nini?
Kuna ulazima wa kushoot mwanume unakojoa toi?
Kuna ulazima wa kutembea na vichupi na vipedo?
Kuna ulazima wa kuonyeshwa ufuska wenu mnakulana mate na kushikana matako na malaya zenu huko club?
Mpo Tanzania sio Marekani.
Najua mmelenga kuonyesha real life kama macelebrity but please ficheni uchafu wenu mnaharibu matineja na hata watoto bahati mbaya wanaangalia!
Huyu Calisa ndio kabisa mfano mbovu wa mwanaume! Yaani mtoto wa kiume akimwangalia huyu hesabu hasara.
Ni hayo tu.
I come in peace. ✌️
Nyie ndo mnatupa attention hapa...
Ye atabadirisha ,watt je?
Akiwa hayupo watabadirisha?
Mkuu Kuna watt wanakua Bado
Hao watoto gani hadi saa nne usiku wana angalia TV? Hivi wewe kweli mzima? Unawalea watoto namna hiyo? Wewe hao watoto una waharibu kabisa hiyo ni mida ya wakubwa ndio maana kikawekwa muda huo!Kazi ya sanaa ni kufikisha ujumbe, kuburudisha, kuonya na kadhalika, lakini mi sielewi kuhusu hiki kipindi kipya kilichoanza juzi kuonyeshwa kwenye channel pendwa ya Maisha Magic Bongo DStv.
Kilipigiwa promo ya kutosha hatimaye siku ikafika. Nliyoyaona na niliokua nimekaa nao wakabaki wanauliza, "Nini hiki?"
County Wizzy, Calisah na Whozu. Kuna ulazima wa kuonyesha mkiwa uchi wa mnyama bafuni naoga?
Kwanini msifanye cameraman anaishia kuonyesha unaingia bafuni kisha anaonyesha unatoka umevaa taulo, kitapungua nini?
Kuna ulazima wa kushoot mwanume unakojoa toi?
Kuna ulazima wa kutembea na vichupi na vipedo?
Kuna ulazima wa kuonyeshwa ufuska wenu mnakulana mate na kushikana matako na malaya zenu huko club?
Mpo Tanzania sio Marekani.
Najua mmelenga kuonyesha real life kama macelebrity but please ficheni uchafu wenu mnaharibu matineja na hata watoto bahati mbaya wanaangalia!
Huyu Calisa ndio kabisa mfano mbovu wa mwanaume! Yaani mtoto wa kiume akimwangalia huyu hesabu hasara.
Ni hayo tu.
I come in peace. ✌️
[emoji23][emoji23]huo ni uongoKama unasubiri wakina Country Weezy wawafundishe maadili watoto wenu pole sana.
Acheni kuwapa majukumu ya kulea watoto wenu watu wengine. Mimi binti yangu wa miaka 10 ana access ya TV all the time, lakini ukimuuliza Nicky Minaj ni nani, bado hamfahamu mpaka leo. Kila kitu kina limit wajameni