Kipindi Cha "Wana wa town" kinaleta ujumbe gani kwenye jamii?

Kipindi Cha "Wana wa town" kinaleta ujumbe gani kwenye jamii?

Kazi ya sanaa ni kufikisha ujumbe, kuburudisha, kuonya na kadhalika, lakini mi sielewi kuhusu hiki kipindi kipya kilichoanza juzi kuonyeshwa kwenye channel pendwa ya Maisha Magic Bongo DStv.

Kilipigiwa promo ya kutosha hatimaye siku ikafika. Nliyoyaona na niliokua nimekaa nao wakabaki wanauliza, "Nini hiki?"

County Wizzy, Calisah na Whozu. Kuna ulazima wa kuonyesha mkiwa uchi wa mnyama bafuni naoga?

Kwanini msifanye cameraman anaishia kuonyesha unaingia bafuni kisha anaonyesha unatoka umevaa taulo, kitapungua nini?

Kuna ulazima wa kushoot mwanume unakojoa toi?
Kuna ulazima wa kutembea na vichupi na vipedo?
Kuna ulazima wa kuonyeshwa ufuska wenu mnakulana mate na kushikana matako na malaya zenu huko club?
Mpo Tanzania sio Marekani.

Najua mmelenga kuonyesha real life kama macelebrity but please ficheni uchafu wenu mnaharibu matineja na hata watoto bahati mbaya wanaangalia!

Huyu Calisa ndio kabisa mfano mbovu wa mwanaume! Yaani mtoto wa kiume akimwangalia huyu hesabu hasara.

Ni hayo tu.
I come in peace. ✌️
Mambo mengine mbaki nayo hukohuko tu...
Wala hiyo channel mi siijui..
 
Ye atabadirisha ,watt je?
Akiwa hayupo watabadirisha?

Mkuu Kuna watt wanakua Bado

Kama unasubiri wakina Country Weezy wawafundishe maadili watoto wenu pole sana.
Acheni kuwapa majukumu ya kulea watoto wenu watu wengine. Mimi binti yangu wa miaka 10 ana access ya TV all the time, lakini ukimuuliza Nicky Minaj ni nani, bado hamfahamu mpaka leo. Kila kitu kina limit wajameni
 
Kazi ya sanaa ni kufikisha ujumbe, kuburudisha, kuonya na kadhalika, lakini mi sielewi kuhusu hiki kipindi kipya kilichoanza juzi kuonyeshwa kwenye channel pendwa ya Maisha Magic Bongo DStv.

Kilipigiwa promo ya kutosha hatimaye siku ikafika. Nliyoyaona na niliokua nimekaa nao wakabaki wanauliza, "Nini hiki?"

County Wizzy, Calisah na Whozu. Kuna ulazima wa kuonyesha mkiwa uchi wa mnyama bafuni naoga?

Kwanini msifanye cameraman anaishia kuonyesha unaingia bafuni kisha anaonyesha unatoka umevaa taulo, kitapungua nini?

Kuna ulazima wa kushoot mwanume unakojoa toi?
Kuna ulazima wa kutembea na vichupi na vipedo?
Kuna ulazima wa kuonyeshwa ufuska wenu mnakulana mate na kushikana matako na malaya zenu huko club?
Mpo Tanzania sio Marekani.

Najua mmelenga kuonyesha real life kama macelebrity but please ficheni uchafu wenu mnaharibu matineja na hata watoto bahati mbaya wanaangalia!

Huyu Calisa ndio kabisa mfano mbovu wa mwanaume! Yaani mtoto wa kiume akimwangalia huyu hesabu hasara.

Ni hayo tu.
I come in peace. ✌️
Hao watoto gani hadi saa nne usiku wana angalia TV? Hivi wewe kweli mzima? Unawalea watoto namna hiyo? Wewe hao watoto una waharibu kabisa hiyo ni mida ya wakubwa ndio maana kikawekwa muda huo!
 
Kama unasubiri wakina Country Weezy wawafundishe maadili watoto wenu pole sana.
Acheni kuwapa majukumu ya kulea watoto wenu watu wengine. Mimi binti yangu wa miaka 10 ana access ya TV all the time, lakini ukimuuliza Nicky Minaj ni nani, bado hamfahamu mpaka leo. Kila kitu kina limit wajameni
[emoji23][emoji23]huo ni uongo
 
Back
Top Bottom