Kipindi cha WEMA SEPETU ndani ya EATV

Kipindi cha WEMA SEPETU ndani ya EATV

malkia namba moja anayetikisa hapa Bongo kwenye tasnia ya filamu, ulimbwende na biashara

Siyo kwa ubaya na ina wezekana ni mimi tu ila sikumbuki movie ya mwisho ya Wema kaitoa lini na imefanyaje sokoni. Biashara ninayo jua ana miliki ni EndlessFame ambayo mpaka leo hii haijafanya chochote zaidi ya kufanya show ya wasanii fulani ambao hata hawa hit (kama ana biashara nyingine naombeni taifa) na huo ulimbwende umissTz alisha umaliza zamani sana.

Kiukweli bora awe na reality show kwa sababu huyu bibie ndio Kim Kardashian wa Bongo kwa maana mtu ambae ni maarufu kutokana na skendo zake. Isingekua miskendo huyu dada asingekua ana sikika mpaka leo.

Ni maoni yangu tu...maneno yangu si sheria...
 
Star wa bongo movie anae tamba ndani na nje ya nchi sasa anakuja na kipindi kipya cha Televisheni kitakachokua kinarushwa ndani ya EATV pekee..

Kwa mujibu wa ukurasa wa facebook wa Eatv, kipindi hicho kitajulikana kama "In My Shoes".

View attachment 112753
katika ukurasa wa EATV wameandika hivi"

Hii lazima ieleweke hata iweje! Baada ya bandika bandua za kutosha, sasa tunakubandikia hii nyingine! Kutana na malkia namba moja anayetikisa hapa Bongo kwenye tasnia ya filamu, ulimbwende na biashara, Wema Abraham Sepetu kwenye reality show yake inayoitwa "In my Shoes" itakayoanza kudondoka hapa kwenye ting'a kali namba moko kwa vijana kuanzia mwezi ujao! Unasemaje?

Hujaelewa bado? Basi pole pole tu utaelewa, usiji-stress, Ama nini?

https://www.facebook.com/eatv.tv

Hapo kwenye red, sijaelewa kitu, hivi huwa anafanya biashara gani?
 
Wabongo kwa kuhoji.........Ok..ngoja niwape hints kidogo.

.....hiki kipindi ni kwa wale wote wanaovutiwa au kutamani kuwa kama bi mdada (Wema).....tunaposema REALITY tunamaanisha REALITY....tangu alivyoukwaa umiss TZ....alivyo/anavyohudhuria vituo vya polisi na mahakamani.......alivyotandika jiwe kioo cha gari la marehemu Kanumba......Anavyoishi na wafanyakazi wake wa nyumbani (promo tulishawawekea hapa jukwaani siku za nyuma)....mtawaona kina Diamond, Jumbe, mheshimiwa mbunge na wengine wengi wanavyopishana.....na mengine mengi....

Ila bado sijajua watai rate PG ,18 ama.........

Kiufupi ni kama BIG BROTHER ya bongo.....kwa maelezo hayo machache ahsanteni kwa kunisikiliza.....
 
Wabongo kwa kuhoji.........Ok..ngoja niwape hints kidogo.

.....hiki kipindi ni kwa wale wote wanaovutiwa au kutamani kuwa kama bi mdada (Wema).....tunaposema REALITY tunamaanisha REALITY....tangu alivyoukwaa umiss TZ....alivyo/anavyohudhuria vituo vya polisi na mahakamani.......alivyotandika jiwe kioo cha gari la marehemu Kanumba......Anavyoishi na wafanyakazi wake wa nyumbani (promo tulishawawekea hapa jukwaani siku za nyuma)....mtawaona kina Diamond, Jumbe, mheshimiwa mbunge na wengine wengi wanavyopishana.....na mengine mengi....

Ila bado sijajua watai rate PG ,18 ama.........

Kiufupi ni kama BIG BROTHER ya bongo.....kwa maelezo hayo machache ahsanteni kwa kunisikiliza.....

Duh, don't try this at home, stay safe.
 
si clouds tv ndo walikuwa wanarusha promo yake?

Kumetokea kutoelewana kati ya Wema Sepetu na Clouds TV, mara baada ya kukubali kurushwa kwa kipindi cha Irene Uwoya kwenye Clouds TV cha kujengea watu nyumba.
Kwa kipindi kirefu Wema Sepetu haelewani na Irene Uwoya na kufanya asusie kurusha kipindi chake Clouds TV, akikataa ushindani naye hasa kwa kuwa yeye ndiye aliyepeleka wazo la kipindi cha maisha halisi.
Baada ya EATV kusikia juu ya kutokea kutoelewana katika Wema Sepetu na Clouds TV, wakamdaka Wema fasta na kuingia naye makubaliano ya kurusha kipindi hicho.
Na kwa kuwa Wema anatengeneza mwenyewe kipindi chake ikawa rahisi kukihamisha.
 
Kumetokea kutoelewana kati ya Wema Sepetu na Clouds TV, mara baada ya kukubali kurushwa kwa kipindi cha Irene Uwoya kwenye Clouds TV cha kujengea watu nyumba.
Kwa kipindi kirefu Wema Sepetu haelewani na Irene Uwoya na kufanya asusie kurusha kipindi chake Clouds TV, akikataa ushindani naye hasa kwa kuwa yeye ndiye aliyepeleka wazo la kipindi cha maisha halisi.
Baada ya EATV kusikia juu ya kutokea kutoelewana katika Wema Sepetu na Clouds TV, wakamdaka Wema fasta na kuingia naye makubaliano ya kurusha kipindi hicho.
Na kwa kuwa Wema anatengeneza mwenyewe kipindi chake ikawa rahisi kukihamisha.

duuh lakini eatv ndo atapata coverage kubwa
 
Wabongo kwa kuhoji.........Ok..ngoja niwape hints kidogo.

.....hiki kipindi ni kwa wale wote wanaovutiwa au kutamani kuwa kama bi mdada (Wema).....tunaposema REALITY tunamaanisha REALITY....tangu alivyoukwaa umiss TZ....alivyo/anavyohudhuria vituo vya polisi na mahakamani.......alivyotandika jiwe kioo cha gari la marehemu Kanumba......Anavyoishi na wafanyakazi wake wa nyumbani (promo tulishawawekea hapa jukwaani siku za nyuma)....mtawaona kina Diamond, Jumbe, mheshimiwa mbunge na wengine wengi wanavyopishana.....na mengine mengi....

Ila bado sijajua watai rate PG ,18 ama.........

Kiufupi ni kama BIG BROTHER ya bongo.....kwa maelezo hayo machache ahsanteni kwa kunisikiliza.....


Wewe kweli fyatu wallah!!
 
Back
Top Bottom