Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Ndio.maana nimeuliza ili nipate kueleweshwa....Weka kwanza hati ya haki miliki ya hicho kipindi kumilikiwa na Cloudstv ndipo swali lako litakuwa na mantiki, iwapo haitakuwepo basi haki ya kumiliki hiyo idea ya kipindi ni ya Zamaradi ambaye sasa yuko Wasafi tv
Hahahah! DahMbona taalifa ya habari walianza kuonesha TBC zamani kama TVT lakini sasa hivi kila TV wanaonesha taarifa ya habari? ?
Je TBC wawashtaki tv nyingine kwa kuwaiga tarifa ya habari??
Au vipindi kama top 10 n.k
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Mbona taalifa ya habari walianza kuonesha TBC zamani kama TVT lakini sasa hivi kila TV wanaonesha taarifa ya habari? ?
Je TBC wawashtaki tv nyingine kwa kuwaiga tarifa ya habari??
Au vipindi kama top 10 n.k
ha haha hahaaaMbona taalifa ya habari walianza kuonesha TBC zamani kama TVT lakini sasa hivi kila TV wanaonesha taarifa ya habari? ?
Je TBC wawashtaki tv nyingine kwa kuwaiga tarifa ya habari??
Au vipindi kama top 10 n.k
Habari walianza ITV ndo wakaja TVTMbona taalifa ya habari walianza kuonesha TBC zamani kama TVT lakini sasa hivi kila TV wanaonesha taarifa ya habari? ?
Je TBC wawashtaki tv nyingine kwa kuwaiga tarifa ya habari??
Au vipindi kama top 10 n.k
Mbona taalifa ya habari walianza kuonesha TBC zamani kama TVT lakini sasa hivi kila TV wanaonesha taarifa ya habari? ?
Je TBC wawashtaki tv nyingine kwa kuwaiga tarifa ya habari??
Au vipindi kama top 10 n.k
tehteeehhh.....swali zuriMbona taalifa ya habari walianza kuonesha TBC zamani kama TVT lakini sasa hivi kila TV wanaonesha taarifa ya habari? ?
Je TBC wawashtaki tv nyingine kwa kuwaiga tarifa ya habari??
Au vipindi kama top 10 n.k
Ruge atanyuti maana,Saleikhum waungwana..
Nimeamua kuitikia wito wa Wasafi tv ifikapo sa moja unusu niwe runingani kucheki kipindi chao kipya walichozindua jana "Nyumba ya Imani".
Dooh naangalia hapa nakuta ni kipindi kile kile ambacho Zamaradi na Sheikh Kipozeo walikuwa wana Kihost Clouds Tv..
Kama mnakumbuka Zamaradi alifungiwa kipindi cha Take One baada ya kumuhoji shoga [HASHTAG]#Kaoge[/HASHTAG] akaanzisha kipindi kuhusu dini huku Kipozeo akitoa dua.
Hapa kisheria ikoje hii maana naona kama content yote kaichukua kutoa Clouds!?
teh teh teh tehnahisi mtoa mada atakua mtangazaji wa mawingu!!
pole yako mkuu
Si kweli.Kuonyesha=kuonesha
Kuonyesha maana yake nini Mkuu..!?Kuchamba kwingi hutoka na mavi. Sasa ulichofanya nini.
Neno kuonesha linatokana na neno ona, na neno kuonyesha linatokana na neno onya. Sijui hapo naona umechemka kijana. Usipende kuchamba chamba sana.