Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 583
- 590
mara nyingi ukiwa unafanya kazi katika taasisi.ubunifu wowote utaofanya ni maali ya hiyo taasisi unless umeingia nao mkataba maalum bila hivyo unawez kufunguliwa mashtaka.. lakini Zamaradi anaweza hamisha hiko kipindi sababu mmiliki wa WASAFI TV ni yule yule mmiliki wa Clouds...Kusaga. Bila hivyo angekuwa keshafunguliwa mashtaaka
Kama alianzisha yeye akiwa clouds na ameamua kuhama na idea yake kuna tatizo gani?