Kipindi gani kilichokuvutia redio Tanzania miaka hiyo?

ven1965

Member
Joined
May 11, 2018
Posts
74
Reaction score
143
Habari wana JF

Miaka inaenda na siku zinazidi kusogea. Miaka hiyo kabla redio hazijawa nyingi redio Tanzania ilikuwa ndo imepamba moto.

Je, ni kipindi gani kilichokuvutia wakati huo ambacho hukupenda kukosa kabisa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi cha mzee jangala.
Kikidhaminiwa na CHIBUKU! Ilikuwa ni zaidi TIVII.
Pia, nilikuwa pia napenda MAMA NA MWANA, MISAKATO, CLUB RAHA LEO SHOOOOOO!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Redio one miaka ya 2000 kipindi cha reggae time kila jmosi saa 12 jioni kuna mtangazi flani alikuwa anajita ras jina limenitoka! yule mtangazaji alikuwa anajua sana sijui siku hizi yupo wapi.
 
Maneno hayo cha Shaban Kisu.. Alikuwa anakuvuta kwanza na stori ya mnyama then anakupa vidonge vyako..
 
Mchezo wa redio (RTD) na chombezo time (radio one) miaka hiyo
 
Wosia wa baba wa taifa
Mazungumzo baada ya habari
Pwagu na pwaguzi
Mama na mwana

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]
 
Harakatiiii!!!
Kuhoji wasafiri.
Na kile kipindi cha wagonjwa ilikuwa kika jmos km sikosei..
Bila kusahau Mama na Mwans
 
1.Kombora
2.majira
3. (Kipindi cha mashairi cha mchana nimesahau jina)
4. Wosia wa baba,
5. Twende na wakati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…