Kipindi hewani. . search line

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,296
Reaction score
12,972
Habari zenu binafsi!

karibuni katika kipindi cha search line. Kipindi hiki ni maalumu kwa wale waliopotezana na ndugu /jamaa na marafiki. unachotakiwa kufanya ni kumtaja ndugu/jamaa/rafiki ulîyepotezana naye. na kuacha njia ya mawasiliano atakayokupata.

tunawaomba wadhamini wa kipindi (@Roullete, Paw na Invisible) watufikishie mawasiliano haya kwa ndugu waliopotea. kwa kuanza namtafta ndugu The Finest naomba mara apatapo ujumbe tuwasiliane kwa na. zile zile nilizokuwa natumia awali. karibun
 
Last edited by a moderator:
Namtafuta your ex, chacha, Amani, Nyamanda, Charles, Jose na wengineo!!!!!!!!!!!!
 
namtafuta Bishanga tumepoteza nae siku 3 zilizopita na aliondoka na deni la mmwng mtarajiwa

ujumbe:milima haikutani binadamu hukutana
wimbo:nilipe nisepe
 
Last edited by a moderator:
ntarudi charm niwekee folen

Plz plz plz my charminglady kabla huyo jamaa hajarudi m-PM umwambie arudi angalau amevaa nguo coz katika hali ya kawaida m2 akisikia anatafutwa na hiyo njemba the second best option kwake itakuwa ni kujinyonga b4 the expected encounter with him. Plz, plz plz charminglady do this for JF's sake!
 
karibu sana,pia unaweza kuendelea kuwatafuta ndugu wengine!

Mwingine ninayemtafuta ni Erickb52 na Young_Master,
walitumwa na Babu Asprin waje kunikagua badala yake,kama wananisikia
nawaambia hv,njooni tu mnikague msiniogope me binadamu mwenzenu na nimeshabook Hotel tayari kwa Ukaguzi.

Ujumbe:
Ukitaka kula sharti nawe uliwe

Wimbo:
Kwetu Pazuri-Ambsdr Grp
 
Last edited by a moderator:
haya mamyto natala huko kwako ila mie ntalal chini wewe utalala kitandani.

Ndio,
wewe utalala chini baada ya godoro na mimi ntalala juu kitandani,
blanketi chapa mtu,safi sana kwa kutokelezea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…