Kipindi hewani. . search line

Kipindi hewani. . search line

Asante mtangazaji mi namtafuta eliza wa tegeta. ma mdogo. mama ashadii. ujumbe tukumbukane.
 
i am looking for my one and true Kabakabana ni muda mrefu sijamtia machoni
Ujumbe nisamehe mpenzi wangu kuna mambo yaliingiliana hata mawasiliano yakawa haba Asprin babu nifikishie msg hii kwa mjukuu wako
 
Last edited by a moderator:
Plz plz plz my charminglady kabla huyo jamaa hajarudi m-PM umwambie arudi angalau amevaa nguo coz katika hali ya kawaida m2 akisikia anatafutwa na hiyo njemba the second best option kwake itakuwa ni kujinyonga b4 the expected encounter with him. Plz, plz plz charminglady do this for JF's sake!

duh Nyetk nimempm bt hajajibu mpaka saiv jaman
 
Last edited by a moderator:
i am looking for my one and true Kabakabana ni muda mrefu sijamtia machoni
Ujumbe nisamehe mpenzi wangu kuna mambo yaliingiliana hata mawasiliano yakawa haba Asprin babu nifikishie msg hii kwa mjukuu wako

madame FirstLady1 mbna hujaacha njia ya mawasiliano km email,na.ya cm au akupm?
 
Last edited by a moderator:
Nawatafuta Mu-sir, dubu na Kimbweka.

Ujumbe:
Dsm hatuami ng'o

Wimbo:
Barua-Les Wa Nyika.

Nakumbuka niliachana na AmKATRINA wakati tunasoma Vidudu akiwa na kikombe cha uji mkononi mimi nikahamishiwa kijiji cha ngopyolo tangu wakati huo sijaonana naye tena. naomba anyefahamu alipo amwambie anipigie kwenye ka namba kangu ka Buzz ni bomba!
Wimbo ;
Mopao mokonzi.
 
Last edited by a moderator:
hope ujumbe utafikia. . . karibu tena!

Ndugu mtangazaji ninaomba uboreshe kipindi chako kwakuwa unawadhamini basi uwe unawapigia simu waliopotezana unawaunganisha wewe mwenyewe direct kama ukipata namba zao.
 
Nakumbuka niliachana na AmKATRINA wakati tunasoma Vidudu akiwa na kikombe cha uji mkononi mimi nikahamishiwa kijiji cha ngopyolo tangu wakati huo sijaonana naye tena. naomba anyefahamu alipo amwambie anipigie kwenye ka namba kangu ka Buzz ni bomba!
Wimbo ;
Mopao mokonzi.

Waooo!
Ndugu Mtangazaji charminglady kipindi chako hatimae kimenikutanisha na huyu mtu Mu-sir.

Haya ndg Mu-sir naomba unipe sababu mbili zilizokufanya uniache solemba pale FairWay Tegeta kwa dj SayDU ktk Buzuki,
ulisababisha mpaka nimeenda kulala Violla Night Club na supu nikainywea FiyaTanga na chakula cha mchana nimepewa ofa pale Family Bar na mtu nisiemjua?

Haya sema haraka.
 
Last edited by a moderator:
Waooo!
Ndugu Mtangazaji charminglady kipindi chako hatimae kimenikutanisha na huyu mtu Mu-sir.

Haya ndg Mu-sir naomba unipe sababu mbili zilizokufanya uniache solemba pale FairWay Tegeta kwa dj SayDU ktk Buzuki,
ulisababisha mpaka nimeenda kulala Violla Night Club na supu nikainywea FiyaTanga na chakula cha mchana nimepewa ofa pale Family Bar na mtu nisiemjua?

Haya sema haraka.

He he he AmKATRINA nahisi kichwa kinaumaaaa??????????? embu ngoja kwanza ni.... search network..... Nitarudi..
 
Last edited by a moderator:
He he he AmKATRINA nahisi kichwa kinaumaaaa??????????? embu ngoja kwanza ni.... search network..... Nitarudi..

Nakusubiria hapahapa.
Ila mara ya mwisho nilikuona Family Bar unakunywa gambe huku ukiwa umepakata LapTop.
 
Last edited by a moderator:
Sasa naona Hiki kipindi ni kizuri Embu check PM yako faster upunguze munkari......... AmKATRINA
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom