ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,784
- 1,317
ata sijamuogopesha ila nimempa ukweli
Hayo ndo maneno,
taratibu unajiingiza tunduni.
Sasa kuku wako mwenyewe unamshikia manati? Si usubiri akirudi bandani jamani!
And so nice.
Mzima lkn?
Poa.
Ndugu mtangazaji ninaomba uboreshe kipindi chako kwakuwa unawadhamini basi uwe unawapigia simu waliopotezana unawaunganisha wewe mwenyewe direct kama ukipata namba zao.
Tatizo ukweli huwa unauma jamani.
l salute u!!ivi ulisoma secondary gani?
Akiibiwa na majirani je?
Hilo sasa jambo jingine watamuibaje wakati nyama ni ile ile ya kuku kama wao?
Shule ya Sekondari Kapwirimpwisituko.
hebu tupate tangazo la biashara kwanza kabla ya kuendelea na kipindi "WAWEZA KUPATA MNG'AO WA KIPEKEE NA MNG'AO WA AJABU, HIYO NIMEIPATA NA HAKIKA HUMETAMETA. KIWI HUNG'ARISHA WEWE UTAPENDEZA WEWE UTAVUTIA MBELE ZA WATU U U U U U U U U"
shost natumia kasimu kamchina, so km umeweka picha cwez ku-view!