Kipindi hewani. . search line

Ndugu mtangazaji ninaomba uboreshe kipindi chako kwakuwa unawadhamini basi uwe unawapigia simu waliopotezana unawaunganisha wewe mwenyewe direct kama ukipata namba zao.

wadhamin wapo makini na ndo maana wamekukutanisha na mamaa AmKATRINA na pia napenda kukushukuru kwa maoni yako msikilizaji. karibu tena kwenye kipindi!
 
Last edited by a moderator:
pia ruksa kuwatumia salamu ndugu, jamaa na marafiki waliopo kijijini sitimbi. ila salamu ni kwa watu wa3 tu kwa mara moja!
 
hebu tupate tangazo la biashara kwanza kabla ya kuendelea na kipindi "WAWEZA KUPATA MNG'AO WA KIPEKEE NA MNG'AO WA AJABU, HIYO NIMEIPATA NA HAKIKA HUMETAMETA. KIWI HUNG'ARISHA WEWE UTAPENDEZA WEWE UTAVUTIA MBELE ZA WATU U U U U U U U U"
 
Hilo sasa jambo jingine watamuibaje wakati nyama ni ile ile ya kuku kama wao?

Na nyie wanaume unapoamua kumsaliti mkeo na kwenda kugawa tundi kwa jirani inakuwaje wakati ladha ni ileile sawa na kwa mkeo?
 
hebu tupate tangazo la biashara kwanza kabla ya kuendelea na kipindi "WAWEZA KUPATA MNG'AO WA KIPEKEE NA MNG'AO WA AJABU, HIYO NIMEIPATA NA HAKIKA HUMETAMETA. KIWI HUNG'ARISHA WEWE UTAPENDEZA WEWE UTAVUTIA MBELE ZA WATU U U U U U U U U"

shost hapo umekosea kidogo..kwenye KIWI,Ungeweka hii






af ungechapia na kiswanglish kidogo kama watangazaji wetu.......ingekuwa poaaaaaa
 
shost hapo umekosea kidogo..kwenye KIWI,Ungeweka hii






af ungechapia na kiswanglish kidogo kama watangazaji wetu.......ingekuwa poaaaaaa

shost natumia kasimu kamchina, so km umeweka picha cwez ku-view!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…