Kipindi hewani. . search line

Namtafuta rafiki yangu mathematics

ujumbe sisi sote ni ndugu!
 
Nawatafuta wale waalimu wenzangu wote tuliopo humu jukwaani.

Ujumbe: Tukutane pale lidas leo saa tano usiku kuna mambo nyeti ya kujadili.
huu ujumbe mpe na mwenzio.
 
Natuma salamu zangu kwa mwanangu Mtambuzi popote alipo.

Ujumbe: Usimalize ile hela ya mahari ya dada yako peke yako,
mimi mama nasubiri fungu langu nikanunue blanketi.
 
charminglady naja kumtafuta mwenzangu ruttashobolwa pamoja na hasimu wake mathematics sijui wako hai au ndo ile gari kule kwenye Pantoni ishawazamisha.
Kama wananisikia napenda kuwaambia kuwa mimi nipo na nitaendelea kuwepo Miaka Mia Nane.

Ujumbe:
Wagombanao ndio wapatanao

Wimbo:
Chozi la Yatima-Jose Mara
 
Last edited by a moderator:

nipo hapa bab tena mzima wa afya, me mwenyewe nilikuwa namtauta mathematics tuyamalize
 
Last edited by a moderator:
Halafu Muwe mnaongeza sauti wakati wa kipindi ili tusikie tunaotafutwa eeeh.......
 
Naitwa khamis namtafuta
Anamary alikuwa akipenda kujiita Intisary
Alikuwa akiishi kamachumu akahamia Dar
My no 0685261957
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…