Kipindi hiki ambacho Makamu wa Rais hajatangazwa bado, likitokea tatizo nani atashika nafasi ya Urais kwa mujibu wa Katiba?

Nchi anachukua spika ndo maana wakati wa kuapishwa raisi viti vya pembeni anakaa spika na jaji mkuu na si waziri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…