Kipindi hiki cha mvua Tandika siyo sehemu ya kwenda kabisa

Kipindi hiki cha mvua Tandika siyo sehemu ya kwenda kabisa

Hali halisi ni hii. Mafuriko tupo hapo View attachment 1625107
Sasa huoni Kuna lami, Gari kaleeeeee , jengo kaleeeeee


Haya ona hapa Ni huko temeke na usidhani ni Somalia.


Yani wanawake wa mbagala wanaweza kucheza WWE Wrestling kwa hiyo purukushani ya kupanda EICHER au DCM
IMG_20201112_221745.jpeg
IMG_20201112_221808.jpeg
 
Umekaa mbele ya Daladala Aina ya EICHER Tena umewahi siti unajiona mjanja kupiga picha za maghorofa zisizokuhusu.


Leteni maisha halisi na sisi tukianza kuleta picha za maghorofa si utakimbia.

Tanzania nzima Hakuna mtaa mzuri Kama Dar Silcon Valley ( Sijui hata Kama unaufahamu).. ila sikutaka kuleta Mambo ya majengo ambayo hayatuhusu katika maisha yetu mimi na wewe.

Ngoja Sasa nikuwekee picha halafu ulinganishe na hayo magofu uliyopost hapa kutoka temeke.


Kumbuka hizi picha ni za mtaa mmoja wa Dar Silcon Valley wilaya ya kinondoni. Hata huelewi lolote zwazwa wewe.


Sasa nakuomba acha kuleta picha za majengo hapa. Tujikite kwenye mada.View attachment 1625011View attachment 1625012View attachment 1625013View attachment 1625014
Brother usitumie nguvu nyingi sana..
Dar nzima kimifumo na kimiundombinu ni mbovu na wala haijafikia hata nusu ya viwango vya world class cities na hapa siongelei "Mega cities" maana hata ukiirudisha kwa Tz bado ni mama wa slums majiji yote..

By the way Karibu TEMEKE kwa Hustlers, Mbagala kwa THE REALEST, Huku huwezi kula wala kulala pazuri kwa

1. kushinda gym au kujisoftisha, kutinda nyusi, kujifanya bongo flava au bongo movie artist or whatever unachofikiria kukwepa KAZI

2. kuwa mdananda ama CHAWA, utachokwa tu

3.kujisifia umeenda majuu au born town unaejua viwanja vyote au watu maarufu wote mjini wakati hizo connections hazijakusaidia kitu zaidi ya kula starehe bila kumiliki hata kiwanja. UTADHARAULIKA

Bottom line, DAR is almost a total slum city
tapatalk_1552590124989.jpeg
 
Sasa huoni Kuna lami, Gari kaleeeeee , jengo kaleeeeee


Haya ona hapa Ni huko temeke na usidhani ni Somalia.


Yani wanawake wa mbagala wanaweza kucheza WWE Wrestling kwa hiyo purukushani ya kupanda EICHER au DCMView attachment 1625127View attachment 1625128
Hiyo hali ipo jiji lote nenda Tegeta asubuhi, Segerea, Kimara,. Hivyo nenda jioni. Pia nakukumbusha huko Mbagala siku hizi hawatumii DCM waliacha miaka Kama 6 ilihopita
 
Ndio ndio mkuu wilaya ambazo zinatoa picha ya Dar ni kinondoni na ilala huko kwingine ni Upuuzi tu.

Mtu Yuko Tandika, Buza, Mbagala nk anajiita Yuko dar. Wewe uko Somalia maana hata mikoani Hakuna sehemu za ajabu Kama Tandika au Mbagala.

Jichanganye wilaya ya kinondoni au ilala mkuu kwanza Temeke hata kuweka familia huko inakuwa ya kiswahili. Unakaa na waswahili waswahili tu
Tafadhali sana somalia hakuna chemba zinazotema ovyo kama huko kwenu.
 
Wilaya ambayo huwezi ukaona mafuriko ni Temeke pekee kwa Dar. Temeke ina ardhi ambayo si asili ya chem chem kwahiyo mvua ikinyesha maji yanakauka haraka
 
Wilaya ambayo huwezi ukaona mafuriko ni Temeke pekee kwa Dar. Temeke ina ardhi ambayo si asili ya chem chem kwahiyo mvua ikinyesha maji yanakauka haraka
Hivi hapa ni mbagala?. Nyambafu. Karibu Tegeta bus terminal uone kuhara nje nje
IMG_20201113_091556_276.JPG
 
Watu WA Dar wakija mikoani wanavyojimwambafy wakija mikoani.nilivyoenda Dar nikajionea
mwenyewe.yaani maeneo Mengine hata Mimi siwezi kuishi hata bure mfano vingunguti. Yaani kuna maeneo ni mibovu kuliko mikoani. Sema kuna maeneo ni mazuri sana.alafu watu WA dar ni wachafu wanaachia maji taka kwenye mazingira.
 
Mimi mchepuko akiniambia anakaa
1 Mbagala
2 Tandika
3 Buza
4 Kiwalani
5 Gongo la Mboto
6 Kitunda
7 Vingunguti naachana nae
Mtu chips yai hao wanawake watakufedhehesha stamina yao kali labda ule viagra.
Hawa Aga khan wanamuhudumia nani hapo Yombo buza mpaka wamechukua ghorofa kubwa hivyo. Haaaaaaaa .
IMG_20201112_223935_244.JPG
 
Hivi ushawahi sikia kuna MTU kutoka wilaya ya Temeke kafa kwa mafuriko???...Ni wilaya gani zinazoongoza kwa nyumba zao kujaa maji hapo DSM?? Pale Jangwani ni Tmk? Vp pale Posta mpya ni Tmk pale? Ile mito mikubwa inayosomba sana watu hapo DSM ipo wilaya gan?
MTOA POST UMEKURUPUKA!!
 
Wilaya masikini kabisa kwa mkoa wa Dar es Salaam ni Temeke, wilaya yenye watu duni kabisa ni Temeke, wilaya iliyochelewa kabisa kimaendeleo ni Temeke.

Hata mipango na miundombinu duni kabisa ni Temeke. Inaongoza kwa uchafu pia.

Jambo la kushangaza nimepita soko Tandika kuna mitaa imepangwa mingi ni michafu sana ni michache ina lami lakini hakuna mitaro ya maji hata m1.

Hata barabara inayokatiza kwenda Buza japo ni njia kuu lakini hakina mitaro. Kukosekana kwa mitaro kumefanya maji yatuame sehemu moja na kuchimba hapo na kukaa muda mrefu kutoa harufu mbaya na kuaribu barabara yenyewe.

Ukitoa soko la Kariakoo linafuata la Tandika lakini hakuvutii kabisa. Sehemu pekee unayoweza kukaa kwenye wilaya hii ni Mtoni Kijichi tu lakini Tandika na Mbagala zimechelewa sana kuendelea.

Serikali inapaswa kuangalia maeneo haya kwa mbele zaidi kwani ni miji na masoko yanayokuwa kwa kasi sana lakini miundombinu inaweza kuwakatisha tamaa wawekezaji wanaotaka kuwekeza maeneo hayo.

Yaelekea Mkurugenzi ni fake, DC ni fake, vinginevyo iwe walichagua Opposition na mkubwa akaminya maendeleo
 
Hapa dar wilaya nzuri na tamu ni kigamboni. kwanza huingii hiyo wilya bila ya kulipia
 
Back
Top Bottom