Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Sasa huoni Kuna lami, Gari kaleeeeee , jengo kaleeeeeeHali halisi ni hii. Mafuriko tupo hapo View attachment 1625107
Brother usitumie nguvu nyingi sana..Umekaa mbele ya Daladala Aina ya EICHER Tena umewahi siti unajiona mjanja kupiga picha za maghorofa zisizokuhusu.
Leteni maisha halisi na sisi tukianza kuleta picha za maghorofa si utakimbia.
Tanzania nzima Hakuna mtaa mzuri Kama Dar Silcon Valley ( Sijui hata Kama unaufahamu).. ila sikutaka kuleta Mambo ya majengo ambayo hayatuhusu katika maisha yetu mimi na wewe.
Ngoja Sasa nikuwekee picha halafu ulinganishe na hayo magofu uliyopost hapa kutoka temeke.
Kumbuka hizi picha ni za mtaa mmoja wa Dar Silcon Valley wilaya ya kinondoni. Hata huelewi lolote zwazwa wewe.
Sasa nakuomba acha kuleta picha za majengo hapa. Tujikite kwenye mada.View attachment 1625011View attachment 1625012View attachment 1625013View attachment 1625014
Hiyo hali ipo jiji lote nenda Tegeta asubuhi, Segerea, Kimara,. Hivyo nenda jioni. Pia nakukumbusha huko Mbagala siku hizi hawatumii DCM waliacha miaka Kama 6 ilihopitaSasa huoni Kuna lami, Gari kaleeeeee , jengo kaleeeeee
Haya ona hapa Ni huko temeke na usidhani ni Somalia.
Yani wanawake wa mbagala wanaweza kucheza WWE Wrestling kwa hiyo purukushani ya kupanda EICHER au DCMView attachment 1625127View attachment 1625128
Tafadhali sana somalia hakuna chemba zinazotema ovyo kama huko kwenu.Ndio ndio mkuu wilaya ambazo zinatoa picha ya Dar ni kinondoni na ilala huko kwingine ni Upuuzi tu.
Mtu Yuko Tandika, Buza, Mbagala nk anajiita Yuko dar. Wewe uko Somalia maana hata mikoani Hakuna sehemu za ajabu Kama Tandika au Mbagala.
Jichanganye wilaya ya kinondoni au ilala mkuu kwanza Temeke hata kuweka familia huko inakuwa ya kiswahili. Unakaa na waswahili waswahili tu
Hivi hapa ni mbagala?. Nyambafu. Karibu Tegeta bus terminal uone kuhara nje njeWilaya ambayo huwezi ukaona mafuriko ni Temeke pekee kwa Dar. Temeke ina ardhi ambayo si asili ya chem chem kwahiyo mvua ikinyesha maji yanakauka haraka
Mtu chips yai hao wanawake watakufedhehesha stamina yao kali labda ule viagra.Mimi mchepuko akiniambia anakaa
1 Mbagala
2 Tandika
3 Buza
4 Kiwalani
5 Gongo la Mboto
6 Kitunda
7 Vingunguti naachana nae
Wilaya masikini kabisa kwa mkoa wa Dar es Salaam ni Temeke, wilaya yenye watu duni kabisa ni Temeke, wilaya iliyochelewa kabisa kimaendeleo ni Temeke.
Hata mipango na miundombinu duni kabisa ni Temeke. Inaongoza kwa uchafu pia.
Jambo la kushangaza nimepita soko Tandika kuna mitaa imepangwa mingi ni michafu sana ni michache ina lami lakini hakuna mitaro ya maji hata m1.
Hata barabara inayokatiza kwenda Buza japo ni njia kuu lakini hakina mitaro. Kukosekana kwa mitaro kumefanya maji yatuame sehemu moja na kuchimba hapo na kukaa muda mrefu kutoa harufu mbaya na kuaribu barabara yenyewe.
Ukitoa soko la Kariakoo linafuata la Tandika lakini hakuvutii kabisa. Sehemu pekee unayoweza kukaa kwenye wilaya hii ni Mtoni Kijichi tu lakini Tandika na Mbagala zimechelewa sana kuendelea.
Serikali inapaswa kuangalia maeneo haya kwa mbele zaidi kwani ni miji na masoko yanayokuwa kwa kasi sana lakini miundombinu inaweza kuwakatisha tamaa wawekezaji wanaotaka kuwekeza maeneo hayo.
🤣Mtu chips yai hao wanawake watakufedhehesha stamina yao kali labda ule viagra.