Kuku wa Kabanga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 807
- 368
hodi jamvini
Wanajamvi mimi nina kitu kinanitatiza,kuna kitu huwa nasikia kuwa kuna miezi fulani hasa ya mwanzo wa mwaka biashara aina mbalimbali mfano maduka huwa ngumu kwa upande wa mauzo,kuna ukweli katika hili,na kama ni hivyo,mwezi wa tano umekaaje kibiashara?
Wanajamvi mimi nina kitu kinanitatiza,kuna kitu huwa nasikia kuwa kuna miezi fulani hasa ya mwanzo wa mwaka biashara aina mbalimbali mfano maduka huwa ngumu kwa upande wa mauzo,kuna ukweli katika hili,na kama ni hivyo,mwezi wa tano umekaaje kibiashara?