Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pambana na hali yako kijana. Unaona wenzako wanaajiriwa. Vijana wa miaka 22 wanafanya kazi wewe upo kwenye mitandao unapiga porojo. Maisha ni kupambana siyo kupiga domo.hamna mnacho weza muna mipango miiingi ya abunuasi ! leteni mil 50 kila kijiji ndipo tuongee mengine
Kwani wewe hapa unapiga nini kama sio zaidi ya porojo..Pambana na hali yako kijana. Unaona wenzako wanaajiriwa. Vijana wa miaka 22 wanafanya kazi wewe upo kwenye mitandao unapiga porojo. Maisha ni kupambana siyo kupiga domo.
EehPambana na hali yako kijana. Unaona wenzako wanaajiriwa. Vijana wa miaka 22 wanafanya kazi wewe upo kwenye mitandao unapiga porojo. Maisha ni kupambana siyo kupiga domo.
Ndo kwanza km 30 na? au nimemsikia vibaya bob[emoji32][emoji32][emoji32]
Bikira ukimfatilia huyu zombi atakupoteza njia[emoji38] [emoji85]
Tunajua mmeshaanza kukwama sasa mnatembeza bakuli mnaombaomba.. na badooo mtazunguka sana siku hazigandi..Sisi ni Bashite lakini wewe ni mywa viroba. Utasubiri ili tukwame mpaka utazeeka.
Povu hiloTunajua mmeshaanza kukwama sasa mnatembeza bakuli mnaombaomba.. na badooo mtazunguka sana siku hazigandi..
Kibubu kimeshavunjwa hamna kitu..
Oooo tunajenga reli kwa pesa tuliyokusanya...
Ikowapi.. mbona mnatembeza bakuli[emoji83]
Mwafwaaaa[emoji196] [emoji90] [emoji90]
Ndo mana boss wenu anawajua upumbafff wenyu [emoji13] [emoji90] [emoji196]Povu hilo
Wako wapi.. wako wapi wengine...Povu hilo
Dozi hiyo inakutosha leo usije ukaji[emoji90] [emoji90] [emoji90] [emoji85] [emoji196]Ninauhakika hilo ni povu. Labda umelewa viroba vikiisha utajiona vizuri.
Ninauhakika hilo ni povu. Labda umelewa viroba vikiisha utajiona vizuri.