Kipindi maalumu kuhusu harakati za kupigania Uhuru wa Tanganyika

Kipindi maalumu kuhusu harakati za kupigania Uhuru wa Tanganyika

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
KIPINDI MAALUM KUHUSU HARAKATI ZA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA 1954 - 1961



Swahili Villa on line TV ya Washington DC wamefanya Kipindi Maalum na Mwanahistoria Mohamed Said kuhusu harakati za kudai uhuru wa Tangayika kati ya 1954 - 1961.

Mohamed Said ameeleza yale mengi ambayo wanahistoria wenzake hawakupata kuyajua hivyo yamekosekana kufahamika.

Kipindi hiki kitarushwa hivi karibuni.
 
Back
Top Bottom