Kipindi maalumu kuhusu harakati za kupigania Uhuru wa Tanganyika

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
KIPINDI MAALUM KUHUSU HARAKATI ZA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA 1954 - 1961

https://www.facebook.com/
Swahili Villa on line TV ya Washington DC wamefanya Kipindi Maalum na Mwanahistoria Mohamed Said kuhusu harakati za kudai uhuru wa Tangayika kati ya 1954 - 1961.

Mohamed Said ameeleza yale mengi ambayo wanahistoria wenzake hawakupata kuyajua hivyo yamekosekana kufahamika.

Kipindi hiki kitarushwa hivi karibuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…