Mbona mlishindwa kuwafunga jkt?
Aya mkuu leo siku yenu,ila ngoja tukutane tuwaoneshe mpira unavyochezwa sio nyinyi mpira wenu wa kubahatisha bahatishaMkuu ile "sikukuu" yetu ya 01.10.2016 tumeianza rasmi kusherekea leo.
Nadhani saba itakuwa vizuri zaidi...tuvunje record tulizojiwekea wenyewe kwa hawa vibonde wanaojiita wa kimataifa.Watakoma mwaka huu..lazima tuwagonge tano ndala
Kumbe sare nayo ni kipigo...Punching bag??...Mnyama aunguruma leo Taifa, baada ya kuwapigisha kwata la kutosha 'wajeda' wa Ruvu Shooting. Leo tumetakata vya kutosha, nadhani Tanzania imeona, Dunia imeona. Simba SC imeshinda goli 2-1.
Wafungaji wa mechi ya leo ni Ajibu na 'homa ya jiji' Mavugo.
Huko Mtwara, Wazee Wa Kimataifa wameendelea kugeuzwa punching bag, baada ya kutoka suti na Ndanda.
Ikumbukwe ni hawa hawa Ndanda waligongwa 3-1 na Mnyama katika mechi ya ufunguzi wa ligi kuu Msimu huu wa 2016/2017.
Nadhani sasa mmeanza kuamini yale maneno ya kocha bora kabisa toka nchini Kameruni, kua kuna matatizo madogo madogo anayafanyia kazi, ndani ya mechi tatu au mbili.. Ole wake tutakayekutana nae baada ya hizo mechi.
Shikamoo Joseph Marius Omog.
Pamoja na ushindi,sijaridhika na jinsi mavugo anavyotupotezea magoli ya wazi vile.Ndala walibebwa kama kawaida ila mbeleko ikakatika.Marefa mara hii acheni mshindi halali apatikane.
Sababu mchovu mwenzie
Hizo sababu tu Kila kocha ana zake.Kwanini Mnyama alishindwa kumfunga JKT Ruvu?
Jibu; Omog anena mazito juu ya safu yake ya ushambuliaji.
Yanga hakuna kitu ni maneno tuu na kuhonga marefaSiku zote ndanda huwa ana wakamia Yanga
Sijui kwa nini