Kipindi Mnyama akigawa dozi Shamba la Bibi.. Yanga waendelea kugeuzwa Punching Bag.

Kipindi Mnyama akigawa dozi Shamba la Bibi.. Yanga waendelea kugeuzwa Punching Bag.

Pamoja na ushindi,sijaridhika na jinsi mavugo anavyotupotezea magoli ya wazi vile.Ndala walibebwa kama kawaida ila mbeleko ikakatika.Marefa mara hii acheni mshindi halali apatikane.
 
  • Thanks
Reactions: 7ve
Ki ukweli wachezaji Yanga wamechoka na wanahitaji mapumziko!

Mkuu hata Simba SC kwa yale mazoezi ya kupanda na kushuka milima ya mkoa Wa Morogoro kwa mida wiki 3 mfululizo.. nao wanahitaji mapumziko
 
Mkuu ile "sikukuu" yetu ya 01.10.2016 tumeianza rasmi kusherekea leo.
Aya mkuu leo siku yenu,ila ngoja tukutane tuwaoneshe mpira unavyochezwa sio nyinyi mpira wenu wa kubahatisha bahatisha
 
Mnyama aunguruma leo Taifa, baada ya kuwapigisha kwata la kutosha 'wajeda' wa Ruvu Shooting. Leo tumetakata vya kutosha, nadhani Tanzania imeona, Dunia imeona. Simba SC imeshinda goli 2-1.
Wafungaji wa mechi ya leo ni Ajibu na 'homa ya jiji' Mavugo.

Huko Mtwara, Wazee Wa Kimataifa wameendelea kugeuzwa punching bag, baada ya kutoka suti na Ndanda.
Ikumbukwe ni hawa hawa Ndanda waligongwa 3-1 na Mnyama katika mechi ya ufunguzi wa ligi kuu Msimu huu wa 2016/2017.

Nadhani sasa mmeanza kuamini yale maneno ya kocha bora kabisa toka nchini Kameruni, kua kuna matatizo madogo madogo anayafanyia kazi, ndani ya mechi tatu au mbili.. Ole wake tutakayekutana nae baada ya hizo mechi.

Shikamoo Joseph Marius Omog.


Kumbe sare nayo ni kipigo...Punching bag??...
 
Mikia fc kwa mpira gan mlio cheza leo?
Almost the game was tough
Ila ukosaj wa magor kwa mavugo umedhihirisha kuwa simba inaugonjwa wa kulala
 
Back
Top Bottom