Kipindi Mnyama akigawa dozi Shamba la Bibi.. Yanga waendelea kugeuzwa Punching Bag.

Kipindi Mnyama akigawa dozi Shamba la Bibi.. Yanga waendelea kugeuzwa Punching Bag.

Hivi Mnyama afanye nini muamini kua sasa ni karejesha yale makali yake ya 2011/2012?


Inakuaje unapiga hesabu kwenye hamna.. Alafu hivi viporo hua vinachacha, so kuweni makini katika kipindi hiki cha mpito.. ambapo Mnyama anarejea kusimika himaya yake ya kudumu kileleni.
Kumbuka wa kimataifa wanafriji so kiporo chao hakijawahi kuchacha ila subiri uone mchezo unaofuata ujue kuwa wa kimataifa huwa hawabahatishi.
 
Mh jamani ligi ya Tz mambo ndio kwanza yanaanza ni mapema mno kuropoka tunzeni akiba ya maneno time will tell.
 
siye wengine siku za hivi karibuni tumekuwa hatufuatilii hii ligi yetu kwa karibu kwa sababu mbalimbali, kwa hiyo hatujui exactly ni nini kinaendelea.

kwa kuanzia mkuu Sembo, embu tutoe tongotongo kidogo wenzio...msimu huu kila timu itacheza jumla ya mechi ngapi na hadi sasa kila kitu imecheza ngapi?
Mkuu idadi ya timu zipo 16.. Na hadi ligi iishe kila timu inatakiwa kucheza mechi 30.

Kuhusu msimamo wa ligi mpaka sasa, pitia hapa [emoji116]

1473315710863.png
 
Kumbuka wa kimataifa wanafriji so kiporo chao hakijawahi kuchacha ila subiri uone mchezo unaofuata ujue kuwa wa kimataifa huwa hawabahatishi.
Sawa Mkuu.
 
Back
Top Bottom