Kipindi unasoma wewe ulikuwa namba ngapi

11.

HASA KTK SOMO LA BIOLOGY, TOPIC REPRODUCTION, MADAM DAUD ALIKATAA KUFUNDISHA KWAAJILI YA MASWALI YANGU, TOPIC ILE ALIMUACHIA MR.MKENYA
 
11. Nilikuwa na maswaki mimi hadi wenzangu wanachukia wanasema na kichwa kizito ila sasa kwenye majawabu ndo walikuwa wananielewa vzr navyowabaka ovyo ovyo...nakula 90 hlf mtihani naficha...wanabaki kuulizana tu nani wa kwanza,mi mitihani nishachana nimetupa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
4. Triplet yetu siwez isahau kabisa
 
[emoji15] how

RubiiKimimi[emoji85]
kiufupi kila siku lazima niandikwe kwenye orodha ya wapiga kelele
ikitokea mwalimu kaingia halafu monitor hajaandika wapiga kelele
nitatajwa tu na sikatai
ticha akiulizia waliopiga kelele jana nitatajwa tu hata kama sikufika shule
hapo nakuwa nimekwepa adhabu ya utoro
 
Namba 2 na namba 11.... lol

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Kumbe na utoro ulikua nao [emoji23]

RubiiKimimi[emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…