Kipindupindu Kenya ni suala mtambuka?

Of course siwezi kuongea kiingereza cha kenya. Especially of gikuyu accent.
Sio kuongea tu, hata kuandika haujui, kingereza kinahitaji akili kubwa sio nyie wazembe wa Buza huko.
 
Sio kuongea tu, hata kuandika haujui, kingereza kinahitaji akili kubwa sio nyie wazembe wa Buza huko.

Kama kawaida yetu. Wazawa wa kiingereza tunawainamisha chini. Sembuse wewe kibera boy. Baada ya kuishiwa hoja unakimbilia unajificha nyuma ya lugha ya malkia. Sisi hatuna ajizi, manamba kama nyie tunawapiga za uso kwa hoja bila huruma.
Utaendelea kujificha kwenye lugha ya malkia (ambayo hata huijui) sisi ni mwendo wa hoja tu.

Jibu hoja, kwa nini hali ya kipindupindu (rafiki yenu mkubwa) nchini kwenu hamtangazi? Hatujawahi sikia wamekufa, wameambukizwa, wamepona wangapi?

NB: Zingatia kwamba kenya ni ya nne (4) katika Afrika kwa kuwa na milipuko ya mara kwa mara ya kipindupindu na wagonjwa wengi.
 

Hehehe Dayaspora wa Buza leo unajiita mzawa wa kingereza, wewe hata ikiwekwa uzungumze na mtoto wa chekechea Kenya kwa kingereza utaambulia zile ze ze ze zenu...wazembe sana nyie watu...hehehe
 
Ngoja aje akujibu wa kizungu... hahaaa
 
We zezeta wa kibera MK254 njoo ujibu hoja hapa wacha kujificha kwenye kizungu..
 
Umeulizwa kwa nini hamtangazi idadi ya maambukizi ya Kipindupindu, waliokufa

Halafu wewe unapata wapi jeuri ya kuhoji Kenya kuhusu corona wakati kwenu mumekua kituko cha dunia kwa ujuha wenu wa kujiaminisha pumba za eti hamna corona, mara corona ilibuniwa kuwahujumu Watanzania na ujinga mwingine kamawote huku mkisababisha watu kupukutika kila siku.
Ttafuta mtu anayejua kingereza asome hizi taarifa hapa na kukutafsiria mlivyopoteza hata kwenye makanisa More than 25 priests, 60 nuns dead in two months, says Tanzanian clergy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…