Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Kiporo cha wali bila mboga viatu?Acha kufananisha kiporo cha wali na vitu vya kijinga.
Kupasha muhimuUlikipasha?
Na maharage wewe.Kiporo cha wali bila mboga viatu??
Na chai ya rangiNa maharage wewe.
Yenye majani ya mchaichai.Na chai ya rangi
Tena ule kwenye sufuria.Kiporo cha wali maharage na chai ya rangi [emoji11]
Kiporo cha cake umeshajaribu?[emoji39]Kiporo cha wali maharage na chai ya rangi [emoji11]
Umeona eeh! [emoji3]Tena ule kwenye sufuria.
Tamu.Umeona eeh! [emoji3]
HapanaKiporo cha cake umeshajaribu ?[emoji39]
Kipi mkuu? Morning glory?Akili yangu iliwaza kiporo kingine kabisa...!
Kitimoto totoo😋😋Mimi huwa nachemsha kitimoto jioni then nakitundika kinakauka halafu kesho yake asubuhi nalia na chai![emoji41][emoji41][emoji41]
Cake? ipi?Kiporo cha cake umeshajaribu ?[emoji39]
Chagua kimoja bwana😄Ngoma droo