Kiporo kipi kitamu zaidi?

Kiporo kipi kitamu zaidi?

Mother Confessor

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2016
Posts
18,677
Reaction score
45,532
Habari ya leo wapenda kula mapocho pocho wenzangu.

Hivi kati ya kiporo cha wali na maharage/ wali ndondo na kiporo cha wali kisamvu (cha nazi au karanga) kipi kitamu?

2843F58A-4BD8-481B-AD13-5AA935A81815.jpeg


Yaani nimeona niulize wala viporo wenzangu kwa sababu hapa namalizia kunywa chai na kiporo cha kisamvu yaani nimekaa chini kabisaa kwa utamu nikimaliza kupost uzi huu nashushia na juice ya embe, lol.

Nitapungua mwakani jamani😆😆

Hebu nambie kiboko yako ya kiporo ni ipi mwenzetu.

~MC~
 
Back
Top Bottom