Kiporo kipi kitamu zaidi?

Kiporo kipi kitamu zaidi?

Unajua unawatesa watu mtu mwingine mlo wake wa siku tu kuupata ni shida,mtu kama kiduku lilo ana siku ya tatu hajala,halafu unamuambia mambo ya viporo unadhani anakuonajet
 
Naona munaongelea vipolo vya kidigitali tu.kuna kipolo cha ugali na mboga fulani inaitwa mzubo,hii mboga ukiwa mjini utakufa hajaila labda uwe na kabibi kako kijijini ndo kakuletea na kakupikie, hii inapikiwa kwenye chungu tu ili uipata radha yake maridhawa,kiungo mojawapo cha hii mboga ni karanga iliyosagwa.Ina maandalizi malefu ili iweze kutumika ila ikiwa tayari kwa kutumika utaikuta ipo kwenye mfumo wa unga wa kijani hivi

Sasa hii kitu itumie asubui ,inakuwa nzito na ugari ulishakuwa baridi ,chukua na kikombe cha maziwa mgando ,aahhhaaa mjini huwezi kupawaza.katika mazingira hayo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mvuvi sana kula hususani usiku,ila kama baba mwenye nyumba Kiporo hua hakiguswi na mtu kabisaa zaidi yangu,napenda sana kiporo

Kiporo cha wali,maharage na nyama,hapo ni balaa tupu hua nalala nakiwaza kabisaa
 
[emoji12] Baba mwenye nyumba nakupenda.
Mimi ni mvuvi sana kula hususani usiku,ila kama baba mwenye nyumba Kiporo hua hakiguswi na mtu kabisaa zaidi yangu,napenda sana kiporo

Kiporo cha wali,maharage na nyama,hapo ni balaa tupu hua nalala nakiwaza kabisaa
 
yai ndaza.jpg
Yai mchemsho ndaza na mchuzi wa Bamia hutakaa usahau! inauma mpaka kunako moyo, halafu ni tiba kwa kina dada, pia huzuia kansa ya aina zote km kansa ya maziwa!
 
Mimi ni mvuvi sana kula hususani usiku,ila kama baba mwenye nyumba Kiporo hua hakiguswi na mtu kabisaa zaidi yangu,napenda sana kiporo

Kiporo cha wali,maharage na nyama,hapo ni balaa tupu hua nalala nakiwaza kabisaa
Umetisha mzee baba
 
Habari ya leo wapenda kula mapocho pocho wenzangu.

Hivi kati ya kiporo cha wali na maharage/ wali ndondo na kiporo cha wali kisamvu (cha nazi au karanga) kipi kitamu?

View attachment 1412357

Yaani nimeona niulize wala viporo wenzangu kwa sababu hapa namalizia kunywa chai na kiporo cha kisamvu yaani nimekaa chini kabisaa kwa utamu nikimaliza kupost uzi huu nashushia na juice ya embe, lol.

Nitapungua mwakani jamani😆😆

Hebu nambie kiboko yako ya kiporo ni ipi mwenzetu.

~MC~
Kiporo cha
Mahindi ya kuchemsha
 
Back
Top Bottom