Kiporo: Kitafunwa cha chai chenye utamu wa pekee

Kiporo: Kitafunwa cha chai chenye utamu wa pekee

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
74b2e22ef5ca70fb313f978570ce8c89.jpg


Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu, watu wengi wanapenda kunywa chai na vitafunwa vya aina mbalimbali, ikiwepo mikate, maandazi, vitumbua, sambusa, nk.

Lakini kitafunwa cha kiporo kiwe ni wali wa maharagwe, makande, ndizi nyama, nk kimekuwa kikiniwa kitamu sana.

Pamoja na kuwa kiporo hunoga sana, ila watu husema kuwa kiporo kimekuwa kikisababisha kuwa na tumbo kubwa.

Nawasilisha
 
View attachment 637164

Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu, watu wengi wanapenda kunywa chai na vitafunwa vya aina mbalimbali, ikiwepo mikate, maandazi, vitumbua, sambusa, nk.

Lakini kitafunwa cha kiporo kiwe ni wali wa maharagwe, makande, ndizi nyama, nk kimekuwa kikiniwa kitamu sana.

Pamoja na kuwa kiporo hunoga sana, ila watu husema kuwa kiporo kimekuwa kikisababisha kuwa na tumbo kubwa.

Nawasilisha
Wee nae nikajua msela wako aliyekubandua zamani umepasha kumbe kiporo kweli..[emoji23][emoji23][emoji23]

Kiporo/kijogoo kwangu huwa najua ni cha ubwabwa tu.[emoji137][emoji137]
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Daah...!! Hiko kiporo kinaonekana kitamu, ila kwann umekiweka kwenye sahani ya plastic bwana[emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Back
Top Bottom