Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Kiporo cha wali wa kisamvu hatari saaana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi na nyie warembo kumbe huwa mnajamba?Usingizi balaa...na kupumua hewa chafu...
mbona kitambo tu tushaanza kupigaAwamu hii tutakula hadi viporo vya ugali kwa chai
hakuna mtu hajambi labda awe hana kidaka ushuzihivi na nyie warembo kumbe huwa mnajamba?
me nikajua tunajamba sisi wala udaga,kumbe na hao wala burger na chips huwa wanajamba?hakuna mtu hajambi labda awe hana kidaka ushuzi
tena shuuz zao zinanuka balaa usiombe akujambie utanuka wiki nzimame nikajua tunajamba sisi wala udaga,kumbe na hao wala burger na chips huwa wanajamba?
Upate wali ambao haukukauka sana (uko kwenye mabonge) kwa maharagwe/njegere/kisamvu vyote viwe na nazi, mchana utakunywa maji tu!Kiporo cha wali wa kisamvu hatari saaana.
Mkuu hayo meupe manene nene ni vitunguu maji?View attachment 637164
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu, watu wengi wanapenda kunywa chai na vitafunwa vya aina mbalimbali, ikiwepo mikate, maandazi, vitumbua, sambusa, nk.
Lakini kitafunwa cha kiporo kiwe ni wali wa maharagwe, makande, ndizi nyama, nk kimekuwa kikiniwa kitamu sana.
Pamoja na kuwa kiporo hunoga sana, ila watu husema kuwa kiporo kimekuwa kikisababisha kuwa na tumbo kubwa.
Nawasilisha