Wee nae nikajua msela wako aliyekubandua zamani umepasha kumbe kiporo kweli..[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 637164
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu, watu wengi wanapenda kunywa chai na vitafunwa vya aina mbalimbali, ikiwepo mikate, maandazi, vitumbua, sambusa, nk.
Lakini kitafunwa cha kiporo kiwe ni wali wa maharagwe, makande, ndizi nyama, nk kimekuwa kikiniwa kitamu sana.
Pamoja na kuwa kiporo hunoga sana, ila watu husema kuwa kiporo kimekuwa kikisababisha kuwa na tumbo kubwa.
Nawasilisha
Halafu juu yake uweke vile vimshkaki vya 100 100 ulivyovinunua usiku vikalala hapo chao haikinaishi
Hivyo hivyoVile vimishkaki vya nyama ya paka?
Utakuwa na kitambiHa ha haaa...mkuu vyuma vimekazaa ila mi toka zamani nakula viporo
AWAMU YA 5 ndo kwanza miaka 2 bado 8Awamu hii tutakula hadi viporo vya ugali kwa chai