Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,..
Kama muonavyo hali ya hewa kwa sasa ni kipupwe cha baridi. Hali hii ya hewa inasababisha ngozi kupauka sana na mafuta hayakai ktk ngozi.
Kwa wataalamu wa ngozi waje watuambie tufanyeje ili tusipauke...
Husika na kichwa cha habari hapo juu,..
Kama muonavyo hali ya hewa kwa sasa ni kipupwe cha baridi. Hali hii ya hewa inasababisha ngozi kupauka sana na mafuta hayakai ktk ngozi.
Kwa wataalamu wa ngozi waje watuambie tufanyeje ili tusipauke...