Kipupwe kinavyofanya ngozi ipauke

Skin moisturizer, au glycerine au usiku kabla ujalala unapakaa mafuta ya mawese ni mazuri pia......
 
paka mayai kile kiini changanya na mafuta but ukiongeza overcado ni nzuri zaidi
 
Vumbi, Upepo, Maji Ya Mzakwe, Dodoma Uvumilivu Mwingi Sana
 
Dodoma kuna kipindi nzi wanakudanda mpaka mdomoni jinsi maji ya chumvi yanavyobabua mdomo unakuwa kama aziz funguo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…